Wadau kuna ndugu yangu anaenda u.k jumatatu, kaniambia ataniletea simu ntayoipenda ila isizidi 450,000/= (172 pounds or 259 us dollarz), simu nayotaka iwe na camera nzuri (13mp and above)...
Habari wana JF,
Nataka kuweka kitabu kizuri saana hapa hasa kwa vijana wanaopenda siasa naomba nielekezwe namna ya kuweka kila nikienda pale kwenye kitufe cha kuattach naona picha tuu au siona...
Habari za mwaka mpya wanabodi ?
Hapo juzi kati mdogo wangu kanikabidhi simu ya samsung wave 3 s8600 ambayo inatumia Bada OS, Nimejaribu kila namna kuinstall whatsapp na apps zinginezo kama...
Wanabodi hiyo inawezekana?maana sina muda ila kuunga vifurushi vyao vya siku mpaka mwezi Naweza tatizo kwenda. Kuungiwa siku ya kwanza kabla.
Kama Kuna yeyote anayejua atuelekeze hapa
Kwa wale wataalam wa mambo ya smart phone, Naombeni kufahamu simu ipi hapa ni bora zaidi katika kudumu na charge, na ipi ina kamera nzuri?
HUAWEI ASCEND Y 330.
TECNO H5.
Naomba mnieleze maama ya maneno yafuatayo huwa nayaona kwenye specification za simu. (1) kernel version (2) baseband.
Natanguliza wingi wa shukrani mi momi mwanaJF mwenzenu Rodwell mTz.
Simu yangu aina ya samsung galaxy s4 inawaka lakini haifiki mwisho nadhani tatizo ni operating system (startup file limezingua) naomba kuelekezwa jinsi ya ku fix hili tatizo.
Poleni na mujukumu wadau...mimi naomba mnisaidie jinsi ya ku-play music files zenye format ya wma kwenye simu (adroid mobile phone), nitashukuru kwa msaada wenu.
Nawasilisha.
Nimenunua mzigo ebay wiki moja sasa, baada ya siku kadhaa nilipata email kwamba mzigo umeondoka UK, nikapewa na track number pamoja na link ya website. Je hii track number inafanya vipi kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.