Kuna mtu kaniletea ipad ya apple ambayo haina access ya kuinsert sim so najiuliza ninawezaje kutumia Internet ikiwa nipo huku kwenye maeneo ambayo sina access ya wireless internet.
So naomba...
Natumia Printer ya EPSON L210 yenye kutumia wino wa maji wa kujaza kwenye matanki(Liquid ink refilling tank), kwa kuwa nilinunua ikiwa mpya kabisa ilikuja na package ya chupa za 4 za rangi...
samahan wadau nimefanya setting ya display ya cpu inagoma kuonyesha kwenye monitor natumia window7 computer desktop hp nikiwasha inawaka ila haionyeshi kwenye display
Habarini ndugu zangu,
Mimi nina laptop yangu nimeweka Windows 7 sasa tatizo linakuja kuwa kila nikiiweka Start Windows Normally halafu nika connect na chaji kwa pamoja inakuwa kama ina start...
Waungwana,
Ninahitaji ku-update ios ya Ipad Air kutoka 6.1.2 Version kwenda Version za juu kwa maana ya 7 au 8.1
Nimefuata procedure za kawaida za ku update but inashindikana. Nina click...
Wadau wa JamiiForums naomba mnijuze au mnipe wavuti wa kutazama online football especiaally uefa leo.
Natanguliza shukrani zangu kwenu greats thinkers.
Wadau naombeni msaada,
Kwa mwenye nayo, au namna ya kuweza kuipata, nnliwasiliana na jamaa wa NECTA wakanambia inapatikana kwenye website yao, nimefatilia sana lkn wapi.
Natanguliza shukran.
Habari wakuu wajukwaa hili,
Mimi nipo hapa kutaka kuhabarishwa kujua fedha itakayotumika kununua solar itakayoweza kukidhi mahitaji yangu ya computer moja pamoja na radio subwoofer moja, computer...
Naomba mwenye uelewa na digital kamera anisaidie, nina 150,000/=. Je! Ni aina gani nzuri. Nipo Dodoma, kwa Dodoma duka gani wanauza kamera zenye ubora, ata kwa Dar kama kuna mtu anafahamu...
Tangu kuanza kutumika rasmi mwaka 2008 katika smartphones. Operating System hii imekuwa na version mbalimbali ili kuleta maboresho katika kutoka version moja kwenda nyingine.
Pitia hapa ili...
Wakuu, natumia tecno, kuna mtu nilimblock kipindi cha nyuma ila nikaja kumunblock, bt tangu hapo nikiwa sipo hewan yeye tu akinipgia anaambiwa number busy.
Tatizo ni nin wakuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.