Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Napenda kutoa shukrani kwa Jamiiforums na member wote katika jukwaa hili, muda mrefu nilikuwa na wazo lakufungua blog ila sijui hata pakuanzia , nashukuru nilipitia thread mbalimbali kuhusu namna...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau wa Tech & Gadgets. Nikijaribu kufungua BlackBerry World inatokea hii error sms "An error has occurred and BlackBerry World must close. Try waiting a few minutes and then reopen...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
wana jf kuna application naziona kwenye downloaded apps je ni kawaida kujiingza zenyewe ama zina madhara alafu kwa kweny greenfy znakua hivi C.C Chief-Mkwawa
0 Reactions
2 Replies
942 Views
Wenye software full ya prokon please naihitaji, nimekuwa nikapata hizi za cracked version lakini baada ya muda mfupi ina-expire
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Heshima kwenu wakuu na wajuzi wajuzi wa mambo Ipi ni simu bora kati ya hizo mbili tukianza kuzichambua kipengele kimoja kimoja ?.Na je ipi ni simu bora yenye ufanisi kiujumla/overal...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
The Man Who Invented the Aeroplane Before the Wright Brothers achieved the first successful heavier-than-air controlled flight on December 17, 1903, hundreds of women and men attempted to...
0 Reactions
27 Replies
19K Views
Wajameni nimevutiwa sana na features za Strong 4922 ila cjapata jua bei ya mpya na original, , Help me jaman ntafute kabla nshahara kwisha
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu... Nina tatizo la kutumia tapatalk kwa windows phones, hasa ku access jamii forums.. Nyie wataalam naombeni msaada wenu.
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari wakuu toka nimejiunga jf sijawahi kuona programming (coding) question limekuwa solved or kuwekwa mezani na kusuluhishwa kihalali. My question, are a programmer or theoretical programmer?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jifunze kutenegeneza app za iPhone na iPad na kozi ya bure kutoka chuo maarufu cha Stanford, mara hii ni kwa lugha mpya ya Swift. Link...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari JF. Naomba Msaada Kujua Tatizo.Nilikuwa Natumia Simu Tajwa Hapo Juu Ilianguka Kwa Bahati Mbaya Ikazima.Nikiiwasha Inavibrate Tu Haiwaki Wala Kutoa Mwanga Naomba Kujua Tatizo Nini !
0 Reactions
3 Replies
940 Views
In 16th May, 2013 the price per TBL share was 3,020 Tshsand for TCC it was 6,000 Tshs per share but in July, 2013 period it went to 3,240 Tshs for TBL and 6,500 Tshs for TCC. In 31th December...
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Poleni kwa majukumu coders wenzangu, hapa nina tatizo ambalo linanizingua na ninahitaji a second eye kutoka kwenu. Natumaini Kiswahili changu cha Kenya kitaeleweka. Kuna mradi ninaofanya na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi wadau!! Can you make call from AT&T tablet Samsung SGH I957? if you look for specs on gsmarena it has GSM but ukicheck in built program no dial pad.. Help on how to add dial pad.. Nawasilisha....
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Wakuu nina ka'simu kangu ka Galaxy Note 1 N700, nimejaribu ku'force Update kwa kutumia Links za kule Xda Developers ila nikiweka Recovery Mode inagoma kabisaa!! Sasa nilikuwa naomba kuelekezwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wasalam waungwana, naomben msaada waungwana wa kuingiza chanell.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari wakuu? Naombeni msaada. Keyboard ya PC inagoma kufanya kazi, nikiwasha inaniandikia keyboard failure then inagoma kufanya kazi !
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimepata maswali meeengi kuhusu hii huawei y530 basi nimeona nishee nanyi machache ambayo nimeyagundua kwaa siku chache ambazo nimekuwa ninaitumia kwanza kabisa hii ni model ya y530-u00(custom...
3 Reactions
30 Replies
13K Views
Habara wakuu, kuna mtindo ambao watu wamezoea ya kwamba ilimradi charger ina uwezo wa kuingia kwenye simu yake au laptop au device nyingine yoyote, basi wanaitumia ku charge device zao. Ukweli...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wadau nina hii simu niliinunua marekani (eBay) ikaja Ikiwa locked nadhani na kampuni ya AT&T msaada tafadhali ili niweze kuitumia bongo.
0 Reactions
2 Replies
861 Views
Back
Top Bottom