Jaman naombeni kuuliza unawezaje kutengeneza link ya document Kwa mfano kuna document ya Microsoft word nataka niweke mtandaoni ambapo naweza mwambia MTU aigoogle aisome.
WanaJF,
Anayejua kilichowapata Vodacom kwenye data service atufahamishe. Leo ni kama siku ya tano hivi internet yao ipo chini mno yaani ni sawa na hakuna hasa eneo la Kigamboni.
Wakuu naomba msaada wa kuweza kungeza speed ya modem yangu. Hili tatizo limeanza takribani wiki tatu zilizo pita inasoma 2g mda wote na speed ni ndogo sana...
Waumini naombeni msaada, simu ya wife Samsung Note 3 imezima baada ya kudondoka ndani ya ndoo ya maji. Je hii simu ndo imeshakufa au inatengenezeka? Kama inatengenezeka niende wapi kwa hapa Dar...
Modular smartphone ni nini:
Hizi ni smartphones ambazo zimeundwa kwa dhana ya open hardware (dhana ambayo inashabihiana na open source software kwa upande wa program).
Maana yake ni kuwa...
Habari zenu wakuu.
Natumai mu-wazima kabisa.............well,kama uzi unavyojieleza hapo juu kuwa ni jinsi gani unaweza kuondoa double blue ticks za whatsapp pale mtu anapokutumia msg,kisha...
Anayejua application yoyote nitakayoweza ku-download kwenye simu yungu ili nipate option ya kuchangua sauti ya kike.
nina shida nayo sana nataka niifanyie kazi. asanteni
Today WhatsApp launched their web client in a way that is sure to upset and disappoint a lot of people.
WhatsApp is a very popular instant message solution competing on the same market as...
"The purpose of a deal, which is still in the works, is to support the development of SpaceX satellites that could beam low-cost internet around the globe to billions who don't have it."
A source...
Wakuu nina huawei p6 ambayo inagoma kumalizia kuwaka....yani inawaka hadi ikifika kwenye logo ya huawei ndo inaishia hapo hadi chaji inaisha...
Nimejaribu kuireset imegoma...nimejaribu kui...
Kwa muujibu wa mwanasheria wa EdwardSnowden, anasema mteja wake hajawahi kutumia iPhone kutokana nasababu za kiusalama. Mwanasheria huyo anasema iPhone ina softwaremaalum ambayo inaweza kuwezeshwa...
Hawa jamaa kama ni wizi basi wamekubuhu. wana vifurushi vyao ambavyo unaweza jiunga halaf kikaja kuisha hata hujakitumia. mimi binafsi nikicheck salio kwenye line yangu nina 1.8 GB lakini speed ya...
https://web.whatsapp.com/
Sasa unaweza kutumia whatsapp kwenye browser! Officialy!
Nadhani unahitaji kutumia chrome browser.
Today, for the first time, millions of you will have the ability to...
Ndg WanaJF
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, blog yangu ina views wachache sana kwa siku takribani 100 nifanye nini ili kufikia 5000 views per day??
Natanguliza shukurani
HP Laserjet Cartirage 85A ya printer yangu imeisha wino nikiprint baadhi ya maandishi yanakuwa hayaonekani vizuri,kwa wenye kufahamu namna ya kurefill naomba msaada na kama kuna madhara ya...
Habari ya wakati huu
Mdogo wangu jana ametapeliwa simu yake aina ya HUAWEI.... Kuna namna yoyote tunaweza kufanya ili aipate simu yake? Anayejua anisaidie tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.