Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Heshima kwenu wadau, Ni hivi nina laptop aina ya Lenovo siku ya jana ilianza tabia zisizo faa. kila nikiiwasha display inakuwa nyeupe harafu baada ya muda inatokea rangi ya puple iliyochanganyika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau naomba mnisaidie jinsi ya kuscreen shot kwenye simu ya samsung galaxy gland mimi sina utaalamu sana na hizi simu za android.
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Wanajamvi salam! Nimenunua tecno h6 ambayo imatumia dual simcard lakini nimeshindwa kuweka hizo line maana hata sehemu ya kuweka laini inaingia nusu laini moja! Wapendwa naomba msaada jinsi ya...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Msaada wapendwa dish langu limefutika channel zote
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii itakuwa rahisi sana mtu wangu, hivi mara ngapi umeshawahi kwenda sehemu ukakutana na maandishi ambayo umeshindwa kuyaelewa?Teknolojia imekuwa msaada kwenye mengi mtu wangu, pata picha...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau nina smartphone ya VODACOM VF685 Huwa hai support baadhi ya Apps kwenye Google Play nini Tatizo??......Msaada wenu tafadhali!!:confused:
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikia hii tekinolojia kwenye vyombo vya habari, naomba mwenye kujua anipe elimu, je inafanyaje kazi na je kitu gani hiki na malengo yake ni yepi, nawasilisha.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu wale wadau wa Device za Apple tupeane maujanja ya tweak na apps kwa device ambazo zimekua jailbroken So far hizi ndio tweaks zangu, kama unajua ipo kali tupia twende sawa
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu nina cm ya lg optmus f200k (vu2) nikijalibu kutumia vodacom ussd kama za kuulizia salio au mpesa inakataa inaonesha connection problem or invalidmmi. Msaada tafadhar
0 Reactions
0 Replies
729 Views
BGR This is the Samsung Galaxy S6 Unpacked EXCLUSIVE galaxy s6 concepy By Jonathan S. Geller Wednesday January 21, 2015, 11:35 AM Samsung’s Galaxy S5 was a monster flagship, except we’ve been...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hichi kitu kinanitatizaga sana ninapofungua page ya web flani zen unachagua kitu kwa Kukiclic inakudirect kwenye page nyingine ambayo ukudhamiria. Tatizo hili nimeliona sana kwenye PC but nlikuwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tafadhari wakuu naomba msaada wa jinsi ya kufanya pc yangu haina office window kama excel ms-word sasa nashindwa kufanya kazi Mungu awabariki.
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Nimevunja sightmirrow / sidemirrow asubuhi ya leo, gari noah town nilitaka kujua bei yake nishilingi ngapi? nipo morogoro.asubuhi njema
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina mpango wa kunua King'amuzi cha Startimes kinachotumia dish. Hivyo naomba kwa yeyote ambaye ameshanunua na anakitumia anijulishe kuhusu ubora wake. Je, hakisumbui kama vile vingine...
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Natumia TECNO 635 nikiweka laini ya TIGO Inagoma kufungua OPERAMINI,,Lakin lain ya voda inafungua kama kawaida..kwa wale wazoefu naomba mnisaidie,,maana kwenye TIGO Nimejiunga bundle la mwaka..
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari? Nina tatizo kwenye pc yangu nikitaka kuclick kwenye notification ili niview labda like,qoutes, haikubali kabisa. Pia hata ninapotaka ku reply kile kibox kinakuja cha kyenyeji sana, hakina...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Bringers of Light & Conversation with God by Neale Donald Walsch, Zen and the Art of Happiness by Chris Prentiss, New-Psycho-Cybernetics by Dr. Maxwell Malta na vingine vinavyoweza shift my...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
The US has secretly equipped at least 50 law enforcement agencies with radars that enable their officers to see through the walls of the houses The agencies, including the FBI and US Marshals...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina siku 28 tu zilizo bakia za kurejista avast nifanyeje au ni uninstall kisha niingize tena?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nina iPad yangu,napoiwasha inawaka fresh, tatizo lake kubwa nipale napotouch screen kwa ajili ya kuunlock inasumbua mpaka ni touch mara kadhaa ndio inakubali kufunguka, msaada...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom