Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mwenye link ya antivirus ya kaaspersky 2015 +crack anisaidie
0 Reactions
1 Replies
633 Views
Wadau naombeni msaada kwa anaezifahamu hizi battery: Nimejaribu kuziangalia kwenye mtandao lkn bdo cjapata jibu wala sijaweza kuzielewa. 1)zinafanyaje kazi 2)zinatumikaje(application)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu. Kuna game moja nimewahi cheza kwenye simu jina lake nimelisahau iko hivi.. kwenye screen kunatokea karata nne tofauti tofauti... then inakuelekeza kuchagua karata moja. Kimoyo moyo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta mtu anaeweza kufanya data recovery zangu za sms whatsap kwa 500000/= zimefutwa azirudishe ni ushahid.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba ushauri wa Tablet gani nzuri niweze kununua. Naomba mnipatie aina 3 tofauti za Tablets na mnaweza mkaniwekea na bei zake na ni maduka gani naweza kwenda nikapata. Mimi niko Dar es Salaam.
-1 Reactions
25 Replies
14K Views
These days, the power and functionality in a palm-sized smartphone would have taken up an entire storage room in the 1960's. Today, your cell phone is a constant companion, a pocket- sized link to...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
natengeneza website kwa kutumia drupal cms, moja kati ya page zilipzopo ni page ya kuuza vitu online,ila shida yangu ni modules gani ziko poa na ni rahisi kutumia ambazo zina deal na...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Nahitaji msaada wa kuweka whatsapp kwenye simu yangu ya tecno t20
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naombeni msaada. Ninaitaji kununua washing Machine (Mashine ya kufulia) ila cna Ujuzi wa kutambua vigezo vya ubora. mwenye ushauri plse
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nina account ya paypal na tayari nimeshaweka paypal code ambazo wanatuma kwenye internet banking ila tatizo sioni link au sehemu ya kuhamisha pesa kwenye banking account kuja kwenye paypal...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
​ Habari za Mchana ninaomba msaada kwa anaefahamu vizuri kuhusu toyota primio nwe model nataka kununua sema naogopa kukurupuka vitu muhimu ninavyopenda kujua ni Ulaji wa Mafuta as ina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, hivi kuna Ultrasn0w Fixer kwajili iOS 7.1.2. Nina tatizo na iPhone yangu nime upgrade iOS ikaniletea tatizo la network (NO SERVICE)
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana Jf,naomba mwenye freguency na Symbol rate za Morning Star TV anisaidie, ikiwezekana na maujanja mengine,Nashukuru sana.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wadau wa technology!? Nina moderm ya zantel na vodacom! Moderm ya zantel inaweza kuandika namba na kupiga na pia kupokea calling ikiwa kwenye laptop. Moderm ya vodacom haina hiyo service...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Niliwatangazia kuhusu elimu ya electronics,napenda kuwatangazia kuwa mafunzo haya yataanza tarehe 2/2/2015. Mafunzo haya yanalenga katika kujifunza namna ya kubuni vifaa mbalimbali ya electronics...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wataalam! nambeni kuongezewa utaalamu jinsi ya kufuta Private messages inbox. Nimejaribu kutafuta lakini sifanikiwi kuipata hyo option ya kudelete. Natanguliza shukurani zangu kwenu!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Wakuu, Kuna mzigo nimeorder toka ebay na leo nimepata notification kuwa umetumwa. Sasa swali langu ni kuwa NAPATAJE MZIGO wangu pale utapofika endapo Shipping address niliyoweka HAINA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Uhuru wa mtandao kudhibitiwa Rais Barack Obama ametoa wito wa kuwekwa sheria kali za kudhibti matumizi ya mitandao huku waziri mkuu wa Uingereza David Cameroon, akitoa ombi kwa mitandao kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello wana Jf, Natumia dish la Zuku. Naomba kujuzwa kuhusu amos5 maana nimepewa frequency nikaambiwa iwe kwenye amos5. Thanks
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Mbona kwenye windows phone 920 yangu application ya jamiiforums haipatikani? Hata niki search kwenye application stores inakataa.haya msaada tafadhali wajuzi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom