Nimepata kusoma na kusikia kutoka vyanzo kadhaa kwamba astronauts huwa wanakwenda kwenya ISS na kufanya matengenezo (repairs) pale inapohitajika. Huenda wanaanga walio ndani ya ISS ndo hutoka na...
Nimesahau email password ninayotumia kwenye google account zangu ikiwemo playstore hivyo nikaamua kufuta account niliyokuwa natumia zaman ili niweze ku~create account mpya,hivyo nikafuata steps...
Habarini wanajamii?Nina laptop yangu ambayo ina window 8 lakini yapata wiki sasa nikiweka modem haifanyi kazi na badala yake inaniandikia "activate window"Sasa niki crick neno activate inanigomea...
Nina simu yangu ni galaxy s3 mpya nimeitumia kwa wiki moja...leo kuanzia saa nane imekata mtandao ghafla hadi muda huu natumia voda na wengine wanapatikana kama kawaida kwenye simu zao kwa mtandao...
Hivi yahoo mail hawana option ya kuhifadhi picha (Photo albums) km Gmail? Nina acount ya yahoo lakini sijafanikiwa kuona option ya kuhifadhi picha zingine zaidi ya profile photo. Naomben mnisaidie
Kwa wale wapenzi wa mambo ya kuchugulia angani..kupatwa kwa jua/mwezi, kuangalia nyota/satellite na mambo mengineyo angani najua watakuwa wanajua hii. Ila kwa wale wasiojua na wanapenda kujifunza...
Niaje, wanajamvi.
Mimi na shida na movie, nimekuja humu maana najua watu ambao wapo updated sana wapo humu.
movie za action, Science na fiction, ZA kutisha, STory, yani zozote mimi nipo adicted...
Heshima mbele Daima...
Wanabodi naomba msaad tutani wakuu nimedownload software fulani kwa ajili ya kumanage prject zangu binafsi sasa ili iweze ku-run nahitaji niweke SQL Server 2012. sasa...
Simu hii ina sifa zifuatazo
1. Ina mfumo wa internet wa 2G
2. Ina camera ya 0.3MP (VGA)
3. Ina 2 inch qvga lcd (320×240 pixels)
4. 8MB RAM
5. Chaji ni siku 29 standby.. siku 27 standby (dual sim)...
Kwa mwenye uzoefu mzuri na Toyota Vitz model mpya ya kati ya mwaka 2005 - 2008.
Nimeangalia kwenye mtandao wa Beforward kuna Model Code kama za aina tatu tofauti.
Model Code hizo ni:
1...
Salamu wakubwa,
Naomba msaada printer tajwa hapo juu ilikuwa inafanyakazi vizuri, lakini iliposafirishwa toka imefika TOUCH haifanyikazi ( in display lakini hakuna response ninapotaka kuitumia...
Kwenye line yangu ya airtel nimepokea kwa mfulilizo sms zenye maneno haya:imo verification code .........(kwenye dashdash inawekwa namba.
Katika muda wa ndani ya dk 5 nimepokea sms 4.
Naomba...
Kwa wale wapenzi wa mambo ya kuchugulia angani..kupatwa kwa jua/mwezi, kuangalia nyota/satellite na mambo mengineyo angani najua watakuwa wanajua hii. Ila kwa wale wasiojua na wanapenda kujifunza...
Wasalam wanajf!! Siku kadhaa sasa Nasoma taratibu za kufanya manunuzi mtandaoni kutumia ebay. Katika kusajiri ebay account Kuna baadhi ya vitu sijavielewa mfano address, Postal code. kwa sasa nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.