Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
kwa wale wataalamu wa ku activate windows Kuna habari mbaya leo microsoft sasa hivi ametangaza itakuwa ni buree, ukiwa na pc yenye windows 7 au 8 kuieka hii habari vizuri zaidi ni kwamba...
14 Reactions
31 Replies
5K Views
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nikagundua ukiachana na hizi piston engines zilizopopular kwenye magari na mashine mbalimbali kumbe kuna aina mpya ya engine ambazo hazitumii mfumo wa...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
  • Poll Poll
Just wanted to know how many People here are interested in paying for on-line Training for Our courses. Just tell us what you would like to learn (even if its not listed) and when. Here is the...
0 Reactions
3 Replies
765 Views
Hii kitu nimeinunua juzi ila naona ina complication kwenye installation yake. Naomba mwenye kuijua anifahamishe hapa taratibu za kuitumia hii mashine.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
INSURGE INTELLIGENCE, a new crowd-funded investigative journalism project, breaks the exclusive story of how the United States intelligence community funded, nurtured and incubated Google as part...
0 Reactions
2 Replies
962 Views
Is it me or is this happening to all whatsApp+ users
0 Reactions
33 Replies
8K Views
Ndugu nimekuwa nikitumia Iphone 4s na nimekuwa ninashindwa kutoa video zilizoko kwenye iphone na kuzipeleka au kuzitumia kwenye WHATSAPP mwenye uelewa naomba msaada.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari gani ? Siku hizi kila mtu ana shauku ya kupata maarifa mapya. Maarifa hayo pia hupatikana kwenyesimu zenye internet. Hamna kitu kibaya kama mtu utamu umekolea halafu battery linaisha...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau nina Epson projector ninapoiwasha tu inaniandikia "error in auto Iris"power off and Contact nearest Epson service provider. Nimekaa nayo miaka mitatu sasa bila shida leo hii ndo imeanza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie Nina laini ya Voda, je kama siitumii kupiga simu lakini hela inawekwa( kwenye Mpesa) na kuna balance, je ni kweli line itakatwa baada ya miezi sita? Nashukuru.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba msaada simu yangu tecno p3 inagoma ku install whatapp.....kila nkidownload inaniambia THERE IS A PROBLEM PASING THE PACKAGE.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wakuu, Ningependa kujua ni nini kazi ya hii kitu?
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wadau natumaini hamjambo, naombeni mwenye kufahamu namna ya kupata plugins za trapcode particular kwa ajili ya Adobe After Effects CS5 anisaidie. Cc. kadoda11, Good Guy na wadau wingine please.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Simu yangu imestak katika sehemu Ya message na kupiga simu ila sehemu nyingine zinafanya kazi vizuri hii ilitokea baada Ya kuapdet version mpya ya iOS msaada jamani niganye nini simu inanikosesha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, nilikuwa napitia kwenye net nikakumbana na list ya Best Top 10 Antiviruses in 2014 kama ilivyo hapo chini. ( Best Antivirus Software Review 2015 | Virus Protection ) 1...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi ni mtumiaji wa window phone mara nyingi natumia laini ya tigo. Kila nikianza ku surfs au ningia instagram au facebook 3G inapotea, nikitoka inarudi saa hiyo hiyo nikingia tena inatoka ...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Menu ya kijapan not reachable Suzuki escudo 2005 model
0 Reactions
15 Replies
11K Views
habari zenu wakuu, tatizo limetokea kwenye pc. nikiingiza password.unakuja ujumbe huu " THE USER PROFILE SERVICE FAILED THE LOGON. USER PROFILE CANNOT BE LOADED" nisaidien ndugu zangu.natanguliza...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Hiyo simu inafanya kazi za kawaida yaani kupiga/kupokea na sms lakini shughuli zinazohusu internet hakuna uwezekano.Naomba kupata solution ya hili tarizo. Nimenunua kwa mtu ila ni mpya haijawahi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Jamani msaada anayejua kuhusu hili tatizo maana nikijaribu kudownload inaniandikia "there was problem in signing in_ check your phone's date and time setting" nimejaribu kuset tarehe na muda...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom