Wanajamvi nataka kuingia ktk ulimwengu wa matumizi ya samsung tablet galaxy note 10.1
ila hizi tablets sizifahamu kwa undani ninaomba msaada wenu juu ya...
1. ni aina gani ya tablets nzuri(it...
Hamjambo? Hebu na mimi leo nijifanye IT specialist.
Kama unataka ku-root simu yako, fuata steps hizi:
1. Download and install MOBOGENIE PC kwenye laptop au PC
2. Connect simu yako kwenye PC au...
natumia galaxy s duos gt-s7562 ila imekataa kuwaka inaishia kwenye samsung logo..hapo mwanzo nli iroot na ikawa ina piga mzigo poa tu na nimejaribu kuingiza stock rom thru...
Mi natumia Xilisoft Video Converter 7.7.2 (cr4cked)
Ina
Convert more than 160 video and audio formats
Convert HD videos, up to 1080p and 4K video !
Convert 2D movies into 3D...
naomba msaada kwa anaejua tatizo la simu hii kwan bila sababu button zote yaan back,menu button hazifanyi kaz je nitatizo ninaloweza liondoa kwa kuiflash?
Habari za kazi ndungu zangu.... najua mtakuwa mmechoka na majukumu ya hapa na pale.. Mimi ni mdau nimeamua kujitolea Sofware ya CINEMA 4D vision zote kuanzia C4D R 12 hadi C4D R15, Pia ninazo...
Katika msimu huu wa sabasaba ttcl wametoa ofa ya internet ya bure kwa muda wa masaa 5. Unachotakiwa kuwa nacho ni device yenye wi-fi, watakupa password na utaendelea kutumia internet. Huduma hii...
Kama kawaida wadau natumai mnaendelea kuenjoy afordable price za TG bei ni ileile 6000/ kutoka kwangu.utaratibu ni uleule ni PM na response hua ni ya fasta
Habari zenyu wakuu,
Hatimaye huawei e173 ambayo imesumbuwa kwa muda mrefu hapa kuwa unlocked, hatimaye sasa nimefanikiwa, hapa nilipo nakula net ya foda na modem ilikuwa eateli tena mnajuwa ni...
Dear All,
Kindly be informed that there is a new service called SWITCH ON the service consists of availability of unlimited bundles for both featured phones, Smart Phones and Tablets
·Switch ON...
Jamani naomba msaada wa activation keys za window 7 professional... Windows yangu imeandika haipo genuine na kwa yeyote anayejua njia zaid ya moja ya kuirudisha to normal anisaidie..
wakuu msaada nmepandishia linux kwenye window 7 sa hvi window 7 haisom kwenye pc na nkajarbu ku install upya window 7 inaleta blue screen inagoma kuinstall!!
wakuu kuna rafiki yangu ameniletea ipad mini nimfanyie restore nimemfanyia kwa kutumia itunes ila baada ya ku restart inanambia activate ipad mwenye kuelewa hili anambie nimemuuliza je mkuu hii...
Habar za kazi wana jf
Nimemaliza form 4 mwaka 2012 ila sikubahatika kuchaguliwa kwenda kidato cha 5 na matokeo yangu nilipa four ya 28.Kiukwel napenda sana masomo ya IT naomben ushair jaman...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.