Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nadhani hii simu ni muendelezo wa Lumia 620 Line-up. Nimezipenda specs zake: -Screen 4.5" (218ppi density) -Processor Quad-core 1.2 GHz Cortex-A7 -RAM 512MB -Camera 5MP Mapungufu yake...
1 Reactions
33 Replies
7K Views
its.the authentication.codes that will be only.6000/ per month.haihitaj ununue code 10. hata moja.tu. Ni PM nikofoadie codes if you are in need of.. *****viva**********
0 Reactions
1 Replies
862 Views
Naomba mwenye kujua anisaidie ili nipunguze hizo meseji,kwani zimejaa.Ni kwenye simu yangu Nokia 206.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ipadi yangu imezima haiwaki tena.naomba msaada nitafanyeje ili iwake. 1.naomba msaada wa kujua hivi ipadi inatumia operating system gani. 2 na ni njia ipi ya kuitengeneza
0 Reactions
3 Replies
794 Views
Jana mida flani ya saa moja usiku nilikuwa naangalia movie mara ikawa inastuck nikaiRESTART baadae ikagoma kuwaka ikawa inaandika window error recovery nikapress start window normal majibu yake ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
msaada wadau macbook yangu toka juzi inasumbua kuwaka. Lakini jana asubuhi nilipojaribu kuwasha ikawaka, leo hii asubuhi tena imekataa kuwaka naombeni msaada wenu wa kulitatua hili tatizo
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Hapo April microsoft waliacha kusupport windows XP! lakini 95% ya ATM duniani wanatumia Windows XP. Hali hii inaziacha ATM mashine nyingi duniani kwenye risk ya kudukuliwa (hacked) na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
waungwana wana jf namesahau password yangu ya gmail ila nimejaribu kureset bila mafanikio naomba mwenye uzoefu na ishu hii.anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ipadi yangu imezima haiwaki tena.naomba msaada nitafanyeje ili iwake. 1.naomba msaada wa kujua hivi ipadi inatumia operating system gani.
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Natumia Nokia Lumia, naombeni msaada wa jinsi ya kupata JF application. shukran
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomben msaada katika hilo wadau
0 Reactions
6 Replies
895 Views
Dar es Salaam.Watumiaji wa huduma za kibenki wametakiwa kujiepusha na wimbi kubwa la utapeli kwa njia ya mtandao linaonekana kushika kasi siku za hivi karibuni. Wametakiwa pia kutokubali kutoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ni kweli dual sim ziko slow zaid ya single...?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau mi kuna kitu nimegundua. Nadhani hawa watengenezaji wa vifaa mbalimbali vya kielektroniki kama simu, tablet na kompyuta ni WEZI na hawana lengo zuri kabisa na sisi walaji na wanashirikiana...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
NINA IPHONE 4S NIMEITUMIA VIZURI IKIWA NA iOS 6 LAKINI BAADA YA KU UPDATE iOS7 TATIZO LA WIFI NA BLUETOOTH KUTOKUFANYA KAZI LIKATOKEA,NIMEJARIBU KU RESET NET SETTING LAKINI HAIKUSAIDIA, NAOMBA...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada,ntajuaje ipi ni feki.ninayo ambayo inaonyesha internal memory ni 5GB na phone memory ni 16 GB,ila nikii connect na computer inaonekana phonememory ni 1.23gb badala ya 16gb.au...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Habar wadau, ninayo laptop zile terminal zinazowezesha kuunganisha il kupeleka mwanga kwenye screen, hvo screen haina mwanga. Ninaomba kama kuna uwezekano wa kuweka screen ya desktop(flat screen)...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wanajamvi.Najua hapa ni mahali ambapo watu wana uelewa wa kutosha.Naomba msaada wa kuelekezwa jinsi ya kufanya ili niweze ku install WhatApp kwenye Apple IPad Air na kama kuna Apps nyingine...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za majukumu wanajamvi, ninatumia samsung gt i5500. Haisupport youtube, microsoft(word,excel,ppt) Tatizo nin wadau naomben msaads kwa wanaojua. Ahsanten na majukumu mema!!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Za weekend wana jukwaa, Napenda kutoa uzi huu tushirikiane kwa pamoja najua ni wengi wanakumbwa na hili tatizo na hawana ufumbuzi Tatizo: Mara kadhaa nakutana na tatizo la kutokuwa hewani yani...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom