Katika World Cup hii Sony wamesema kuwa watakuwa na moving camera za 4K ambazo zina uwezo mkubwa wa kutoa picha bora zaidi ya Camera za 3D.
Kwa wataalamu wa moving camera ni nini sifa za 4K na...
JF ni kisima cha elimu. Nimewasikia watu wakiongea kuwa kuna kifaa kinafungwa kwenye simu,kinaweza kukupatia taarifa kuhusu simu zinazopigwa,SMS zinazoingia na kutumwa kwa hiyo simu nk. Ni ya...
Rooting ni process ambayo inakupa super-user access kwenye device yako: namaanisha inakupa wewe na apps zako ruksa ya kudeal na hardware za simu directly na pia system directories za simu.
Kwa...
wakuu habari zenu nilikuwa nimedownload rss player ktk simu yangu kuna link moja ukiiweka unaangalia drama nyingi sana za kokirea na kichina sasa simu ilikuwa inazingua leo nikafanya factory...
Habari wanajamvi nimeona matangazo ya vodacom katika page yao ya facebook na wameeleza kuwa kuna punguzo kubwa la bidhaa zao ikiwemo smartphone za vodafone maeneo ya leaders club,sasa kwa mdau...
Habar wana Tech. Kuna uzi mmoja humu jf kuhusu kuitambua Simu Original za Samsung. Binafsi natumia hizi codes na zikikubali zote huwa naamini ni OG.. hiz hapa..
codes used in original
Samsung...
Nina toshiba satellite A200 series, win Vista. inatatizo la kutodetect hard drive. Mara nyingi huzima ghafla,unapoiwasha itaenda hadi kufungua desktop kisha huzimika ghafla. ukiiacha muda mrefu...
Je, ni software gani ya ku-edit audio, yaani uweze kuondoa voice ubaki na instrument pekee,uweze ku-mute instrument fulani.uingize nyingine.Mfano,uweze kuubadilisha muziki fulani uwe tofauti na...
Wakuu Kuna jamaa anatka kuniuzia Nokia lumia 520 kwa laki mbili je bei hii iko fair??? Hlf nahitaj kujua km inakubali m pesa na tigo pesa ??? Kwani imetoka south Africa bado haija flashiwa
I am looking for technical cofounder, preferably PHP&Web Developer to code and design travel meta search engine (front-end & back-end) for tours and activities.
A powerful and easy to use meta...
WADAU naomba msaada hata wa ku ni assist niweze itoa hii iphone 4 kutoka recovery mode.
nimejaribu kuiweka katika DFU MODE NIMESHINDWA hata kwa kutumia redsnow,na ukiiwasha inakaa recovery mode...
Habari zenu wana Jf. Naomba msaada simu yangu wakati wa kuicharge nisipoingiza kwa nguvu na kushikiria haiingii. Naomba msaada nifanyeje. Msaada wenu mhimu sana pia nitashukuru.
Wandugu nimetoka Ku install tigo pesa app via android play store.
Naona inafanya kazi vyema , na imesolve tatzo la jinsi ya kuaccess account yangu ya tigo pesa ambapo saiv naweza kuipata hata...
Wadau,
Heri ya Ramadhan kwenu nyote.
Ninapo sign in katika yahoo acoount yangu nakutana na tangazo la kunitaka nibadili password kwani karibuni pamekuwa na majaribio mengi ya kuingia katiak...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.