Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wana kijiwe wenzangu....nina tatizo katika simu aina ya huawei y 300 kila nkipiga au kupigiwa baada ya muda fulani kama dk moja au sekunde 40 inakata mawasiliano ninaewasiliana nae...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
please guys help,nina hiyo retail point of sale 1.7 but no serial no
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mara nyingi tumekuwa tukitumia hizi kompyuta zetu bila kuzingatia baadhi ya mambo ambayo ni ya muhimu sana. Ishu za kuchukulia hatua ni kama zifuatazo;- i) Kwa wale watumiaji wa Windows XP na...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu. Michuzi Blog ya Issa Michuzi ni Blog maarufu na yenye mafanikio makubwa sana. Na Blog nzuri ni ile inayotumia Self Hosted Domain yani kwa mfano www.issamichuzi.com lakini kwa blog hii...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Salaam, Naombeni msaada. Nimeenda kununua wameniambia laki 2 na nusu..hapo bado installation ya window 7.. Nimehangaika nimepata window 7 tena haina key so nimeskip activation. Shida imebaki...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Waungwana,nina simu Samsung Galaxy Duos,katoto kangu kadogo kalikuwa kanaichezea bila mimi kumuona sijui kabonyeza nini hata simu yangu ikafungika kabisaa!!,nime-sign kwa google account yangu ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habariii! natumia huawei 210 ila inasumbua kudownload nymbo, ko nifanyajeee.?
0 Reactions
2 Replies
724 Views
Ni jambo la kawaida sana mtu kupewa simu ya gharama kutoka kwa ndugu, jamaa, rafiki, au Kampuni unayofanyanayo kazi. Kwa upande mwingine hii zawadi nzuri uliyopewa na kuifurahia inaweza kuwa ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Greeting for daily life wana JF I was try to create slide show in blog but the don't slide....help pls
0 Reactions
5 Replies
584 Views
naomba msaada kwa mwenye program ya ashampoo burning studio ya 2012 tafadhali
0 Reactions
0 Replies
726 Views
Salaaaam wanajamvi...naombeni msaada kwa anayeweza kuichakachua safaricom moderm Huawei E173...Maana naona zinaitaji utaalamu zaidi coz ukiweka laini nyingine hazikupi option ya kuingiza unlocking...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kwanza kabisa nichukue fursa hii kuwashukuru Wanajf kwa kutoa elimu kuhusiana na manunuzi mtandaoni,kutokana na hilo nikaona ni vyema nami nijaribu kufanya manunuzi kupitia ebay,kwanza...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Tafadhali wana jamii nisaidieni nawezaje ku-download software ya kuniwezesha ku-download video kwenye mtandao na software gani hiyo? Naomba taratibu zote kupakua software hiyo na jinsi ya kuitumia.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu naombeni msaada wenu,nime-Update iPhone 3gs kwa kutumia iTunes ya laptop kutoka Version 4.1 kwenda Version 6.0. Sasa nimefika hatua mwishoni ya ku-configure but simu inaonyesha No Service na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu!! Natumia iPhone 4s na nimeupgrade iOS mpaka 7.1.Nilikuwa natumia vizuri tu hotspot mpaka juzi sijui imejifuta au nimefuta bila kujua lakini haipo kwenye setting,nimejaribu...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Big Earthquakes Double in 2014, But They're Not Linked...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
KWA UFUPI Kwa kawaida wakati wa usajili wa laini za simu au vifaa vingine vya mawasiliano, kuna jambo ambalo mara nyingi linasahaulika kati ya mteja wa huduma za mawasiliano na mtoa huduma yaani...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Galaxy S3 imezimika tu haicharge na pia haiwaki, nlilala nikaiacha charging usiku nlipoamka nikaibonyeza maana nliiacha on, haikurespond nikajaribu kuiwasha haikuwaka, nimepitia mitandaoni nimeona...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Simu yangu ime-hardbrick! Hii imetokana na mimi kusoma article fulani hivi katika forum.xda-deveopers.com kuwa ROM manager sio nzuri ila kuna application fulani hivi kwa ajili ya kuinstall Clock...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna cm hapa SAMSUNG ya windows mobile@6.1 professional Processore ARM920T PXA312 memoria 97.30 Model i900 Suali langu hii cm haina lugha ya Kiengereza tatizo nn hasa ?
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Back
Top Bottom