Kama mnavyojua akina dada na mambo ya Selfie simu inaniangusha tangu nimenunua nashindwa kujipiga Picha- Front Camera nikiset inakuwa Black tu wala haionyeshi chochote
wataalam nisaidieni...
habari,wakuu naomba kujua kama kuna anaefahamu kuhusu vifaa au kifaa cha kuzuia dalili/ishara ya simu kuita. maana naona watu hawana ustaraabu kabisa unakuta upo kanisani/msiktini mtu anapokea...
Nawaombeni anayeweza tafadhari.
I have the Manual of Programming protocol, but when I write code vb.net returns error message.
The following is the table structure of bytes array
Collapse |...
Am writing a book that will be part of Android Students' materials in course that will come in few months.
Am writing here because I would like to include answers to question you have been asking...
Hivi eti inawezekana kuongeza chaneli ambazo hazipo kabisa kwenye king'amuzi. Mfano mie natumia ZUKU ila haina star tv wala super sport, Je nazipataje hizi chaneli?
Habari wana Tech, Gadgets,..
Naomba msaada wenu namna ya kubadili Jina langu kwenye akaunti ya Facebook,.
Nimejaribu kubadilisha sijafanikiwa.
Natanguliza shukari.
Kwanza najipa pole maana walinipiga laptop na docs zote kupotea.
Sasa nimenunua mpya ina window 8 na HDD 750GB ila 650GB zote zipo Local C na zilizobaki zipo local D.
Je nawezaje kuzigawa na...
Kwahili Tigo wametisha. Bei ya Internet Tanzania inaanza kuwa ya bei ya chini. Kama Tigo wameweza kutoa 35 GB kwa 20,000 ipo Siku bei ya internet itakuwa chini zaidi.
wazingatie tu internet iwe...
Wadau naomba msaada..simu yangu htC sensation z710e iko na 4.0.3 version...naomba mnipe procedure za kuapgrade hii software varsion..angalau kwenye 4.2 soft version.
FIFA World Cup 2014 themes
The Brazil World Cup by LadyAn. (Icon, wallpaper and widget) [Download]
Korea World Cup by Ningtieying. (Icon, wallpaper and widget) [Download]
World Cup...
Wanajamvi habari,
Simu ya best yangu model tajwa hapo juu Tecno N3 alimuachia mtu akaiblock patten, sasa amejaribu mara kadhaa imezingua simu inadai email, na hajawahi kuiwekea email...
wakuu hesima kwenu mimi nina simu aina ya sumsung galaxy original ila Kuwa bahati mbaya niliindosha sasa baada ya hapo imekuwa na tatizo kubwa niki select icon ya play store inafunguka camera...
Habari zenu wana JF Nimekua nikijiuliza cku nyingi bila ya kupata majibu
Kwenye play store ukifungua application yoyote ile chini kidogo utakuta watu wametoa...
Habari zenu wana jf, naombeni msaada nina blackberry 9700 bold inatatizo la kujizima na kujiwasha hususani unakuta unaongea na mtu, nimeshauliwa niiflash lakini naogopa nimehifadhi data zangu...
Kuna mtu anataka kuniuzia tv flat screen RISING 19"inches,ila mimi sina uelewa na hizi smart TV,je nazo hizi.RISING ni nzuri km ninavyosikiaga SONY,LG na SAMSUNG?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.