Wadau nasikia imetoka toleo jipya la simu ya lg ambayo ni lg g3. Mwenye ufahamu zaidi na hii cm naomba anijuze name kwa hapa bongo(dar) inapatikana pande zip! Asanteni.
wakuu naomba msada nina simu yangu ya sony ericcsson min huwa inajiweka file linaloitwa thumbnaildata ambalo lichukua space kubwa mpaka 1gb nikifuta linajirudia naombeni msaada wa kutatua hili tatizo
hii ndio program niliyoitengeneza kipindi nikiwa second year, wakati tunasoma C++ , Hebu pitia kidogo hapa ,
inaRun kwenye 32Bit peke yake
ni commandline
program 1 hii hapa...
Wandugu naomba msaada wa wi-fi setting kwenye simu nina simu mbili moja ina 100 mb nataka kuzitumia kwenye hiyo simu nyingine kwa njia ya wi-fi inanigomea inanitolea vitu nivijaze kama network...
Hallo, nnahitaji kurekebisha Dishi langu la Dstv limepoteza Signal.Nnaye fundi wangu lakini bado yuko kizaman. Ukimuita inabidi apande Darini/Ghorofani na Wire wa Umeme/Extension & TV Ndogo wakati...
Habari wakuu!
Laptopt yangu aina ya Lenovo g500 imekatka mkanda wa display (Video flex cable). Nmetafta spea hii madukan nmekosa.
Naomba yeyote alienayo au anaejua wapi naweza kuipata awasiliane...
Ni kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu tumeweza kukutana hapa kama jumuiya moja.
Nimejaribu kufanya utafiti mtandaoni lakini Jibu ninalopata ni kuwa Windows installation bila DVD au USB...
Pichani ni Iton Mini Bluetooth keyboard inayouzwa 40,000 tuu.
Inakuletea uwezo wa kucontrol kifaa chako chenye bluetooth ukiwa mbali hadi mita 10.
Keyboard hii ina features zifuatazo:
Ni...
Pichani ni Iton Mini Bluetooth keyboard inayouzwa 40,000 tuu.
Inakuletea uwezo wa kucontrol kifaa chako chenye bluetooth ukiwa mbali hadi mita 10.
Keyboard hii ina features zifuatazo:
Ni...
Wadau kuna mtu kakoroga laptop yangu ni kwamba screen yangu ilikuwa imekuwa black kwa vile window haikuwa Genuine! fundi kaenda kuniwekea window ila alipomaliza nilipofika home program zangu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.