Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Msaada.. nimeweka windows mpya windows 8.1 lakini niki install antivirus ya kaspersky 2014 inagoma help plzz
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wandugu naomba msaada kwa wenye utaalam na jamii hii ya simu, nina iphone 4 yangu tangu jana usiku inasearch network wakati wote. Nikiondoa line/nikiweka hakuna badiliko, mwenye idea nini nifanye...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
download fifa 14(for pc) update file by clicking here
0 Reactions
3 Replies
1K Views
[ANT] Simple is a tiny program that reads the security code of any Nokia phone that supports USB connection mode. 1. Downoad [ANT] Simple 2. If you have Nokia PC Suite running, be sure to close it...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa anayejua kuroot smartphone,,plz nisaidie nataka kuroot ma phone ts huawei y300
0 Reactions
2 Replies
784 Views
Jameni nisaidieni natumia LG F100s ila imeanza kujizima yenyewe na kuji restart imekuwa hivyo tuu hadi uiconect kwa charge ndo inatulia..maana yake nikiitoa kwa charge inaleta ishu zile zile...
0 Reactions
1 Replies
919 Views
Naomba msaada kwa yafuatayo kwenye Lumia 625 wp8 1: Je inawezekana pokes app from another 4ne, if yes nipe procedures. 2: uki-install app eg opera mini unaambiwa not available in a store. 3...
0 Reactions
5 Replies
797 Views
Nimeona airtel wakiuza Nokia xl hivi hii simu waweza upgrade os yake?
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakubwa nilikua na wazo la kuanzisha web ya kuuza beats zangu kwa hapa hapa Tanzania. Ni vitu nahitaji kufanya kabla sijaanza rasmi! Ushauri wenu tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za jioni wanajamii, Naombeni msaada wenu wa ki-IT. Nina computer hapa ilizingua windows,nikaweka windows nyingine ya widows 7 prof. nimeinstall hadi mwisho.Ishu imeanza nilipotaka kuinstall...
0 Reactions
5 Replies
809 Views
Salaam wakuu, kwanza kabisa i want to say thanks to the people i owe mpaka nimefanikisha kuconfigure TG and am now back online after shifting from PD Proxy. Sema issue inayonitatiza wakuu ni speed...
0 Reactions
81 Replies
14K Views
asalaam alyekum wakuu. tumsifu yesu kristo!!!! samahan wakuu naomba kufahamishwa kati ya window 8 na window 8.1 ipi ni nzr kuliko mwenzake na kwa sababu ipi n bora kuliko mwenzake...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu?Km mwana jamvi mpya naanza km ifuatavyo. Nina modem yangu ya zain E1550,baada ya kuapdate firmware na dashboard inaprompt hivi. The SIM/USIM card has not been detected or is...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu hii kitu inanitesa sana nafanya kazi kubwa lakini mavuno madogo mssaaada wenu wakuu
0 Reactions
0 Replies
903 Views
I phone yangu imeharibika home button haifanyi kazi kabisa, nitafanyaje wadau iwe katika hali yake ya kawaida?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau, leo mchana wakati naendesha gari yangu gear zilianza kuingia kwa shida [gari ni 320i automatic] na baadae gari ikagoma kabisa kubadili gear nafikiri ili gomea namba nne au tano maanake...
2 Reactions
57 Replies
5K Views
If you believe the extensive leaks and other "verified" rumors and photos floating around the interweb, the next iPhone will be officially unveiled by Apple on September 19 at an exclusive media...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanajamvi nimenunua cm samsung galaxy mini tatizo opera mini setup hainstall lakini setup zote zinakubali msaada
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Si wote wanapenda facebook, japokua mimi ni mdau sana kwani ni sehemu ya kupata breaking news za vyombo mbalimbali za habari, ndugu zangu nimeshindwa kufungua kabisa page ya fb toka juzi, Natumia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nasumbuliwa sana na virus hususani unapofungua any web zinapop up other windows na matangazo kibao mara vigames vya ajabu ajabu,nililipia Avast lakini naona hamna kitu kabisa haizuii chochote...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom