Habari, nina simu aina ya samsung galaxy, cha kushangaza simu hii inasoma 2g, japo application zote napata ila internet yake ipo slow balaa, je naweza kufanyaje ili iweze kuwa 3g au net iwe fast...
Habari wakuu,.
Ninataka kubadilisha Jina langu kwenye akaunti yangu ya Facebook nimeshindwa.
Maelekezo ninayopewa na Facebook hayanisaidii kufanikisha kubadili Jina.
Kwa anayefahamu namna...
Wap naweza pata au duka gan hapa dar es salaam wanauza genuine microsoft office 2013.sihitaji package iliyodownloadiwa au cracked versions. nahitaji installation cd ambayo iko sealed and genuine.
Huawei U8150, U8160 unlocker freeee kwa watu kumi wa mwanzo. pm yangu imejaa maombi ya huawei unlocking nikaona nitoe free software kwa wale kumi wa mwanzo hapa. uki-pm sitajibu
Nimefanikiwa kutumia vodacom unlimited kwa 1000 japokuwa wanalimit speed baada ya 1 GB lakini now naweza kutumia hadi 5 GB nakuendelea. Suluhisho ni usitumie modem kwenye laptop bali ni tumia...
Android and Windows to get 'kill switch'
Locked phone Authorities claim that a kill switch feature would help reduce phone theft
Google and Microsoft will add a "kill-switch" feature to their...
Nimenunua simu aina ya Huawei model no. U8655-1 toka Tigo. Haikubali laini nyingine zaidi ya Tigo. Internet ya tigo iko low na hawana 3G ambayo simu ina support. Nawezaje ku kupata unlock code ya...
wataalam naomba msaada wenu, natumia blackberry hio hapo juu. mwezi wa pili sasa ukiiwasha inatoa mwanga mweupe tu bila chochote cha maana. mwanzo nilidhani ni lcd nikanunua nyingine bei yake ni...
Nataka ku-unlock modem yangu Model E1550. Nimesoma misaada mingi humu jamvini ya jinsi ya ku-unlock, lakini yote inataka u-provide IMEI ya modem. Nimeiangalia sana modem yangu sijaona hiyo IMEI...
TECNO L3 imekataa kufanya kazi. SIM Management haifanyi kazi pia inaleta maandishi "setting has stopped" kila unapojaribu ku activate line zisome. Msaada kwa yeyoye mwenye upeo zaidi....
Habari wakuu,.
Natumia simu, kila ninapojaribu kufungua ili niangalie Video Online nashindwa kisha napata huo Ujumbe,
Tafadhali naomba msaada wenu wataalam nifanye kitu gani.
Natanguliza...
hello wakuu habari!
Nimekuwa nikikutana na pc nying hasa dell zimezima.na ukiwasha kuna vitu vifuatavyo vinawaka
1.feni inazunguka
2.taa ya ndan nayo inawaka
ila kwenye moniter haidisplay...
Ni used na unlocked toka usa. Inasumbua sana kwenye internet. Mpaka ni restart ndo inakamata na ikikaa muda inagoma hadi ni restart tena.
Tatizo ni nini? Natumia mtandao wa airtel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.