Kwa mwenye uzoefu na hizi SINGSUNG FLAT TV,Hivi zina ubora?.Na vp kuhusu quality ya picha yake?.
Anayefahamu tafadhari anijuze,nisijeingia choo cha kike.
Siyo laini yangu, ni ya jamaa yangu. Aliniuzia simu ikiwa na hiyo ya M pesa. Jana ndo amenitaka nimreshee laini yake. Na mimi sikumbuki kabisa nilipoìangusha. Sasa mwenye laini yake anataka...
Hi kwa wana jamii wote mimi nashida kidogo nataka ni create accunt yahoo inakataaa unaingia kwenye signi up unajaza maelezo yote ukifika sehemu ya kubonya sign up inakataaa ni kwa nini jamani...
Habari wakuu,
Nilikuwa naomba wapi naweza kupata Computers za kuongeza ujuzi kwa mtoto,sio hizi zetu za watu wazima.Ni kwa mwanafunzi wa darasa la kwanza(6 yrs)
Naziona kwenye TV tu ila sifahamu...
Nina nokia 6300 nikiweka sim card ina display Phone restricted na niki Undo inanitaka niweke restriction code. sasa sielewi lolote kwani sijui nitaipata wapi hiyo code. IMEI yake ni 356960012800129.
hebu tuambiane ni version gani ya windows ilikuwa na matoleo mengi, either official au zile zisizo official..... hapo nimeziweka baadhi ya versio , tafadhali weka neno hapo ili hata wadogo zetu...
Naomba kujuzwa madhara yanayoweza kutokea katika laptop yangu ikiwa nitatumia bila betri kwa kuunganisha moja kwa moja adapter kwenye umeme. Natanguliza shukrani.
Habari za jioni wadau
Ninaomba masaada wa jinsi ya kuongeza namba ya watembezi kwenye blog ili ipeleke blog kukuwa kama blog yingine zilizo kuwa masaada tafadhali
Ukimpigia mtu kama hapatikani badala ya kukuambia hapatikani wanakuletea kwanza matangazo yao ukimaliza kuyasikiliza ndipo unaambiwa unayempigia hapatikani. Mimi kama mteja hii inanikera jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.