salute wakuu. nimekuwa napata shida ku'download' watsap messenger kwenye simu ya android. kila nikijaribu ni INSUFFICIENT MEMORY. naombeni msaada km nifanyaje?
Habarini
Nahitaji msaada nina simu aina ya Google smartphone 748 siwezi kuset camera kwani nikipiga picha inatoa dark na wakati mchana na wakati mwingine inakuwa haionekani picha vizuri kwa mtu...
wapendwa inakuwaje,
poleni na majukumu ya kazi,naomba mwenye ujuzi wa kufanya manual setting za internet kwenye simu tajwa hapo juu,yaani haitaki kuwa kwenye 3g,h
kila nikifanya setting inakuwa...
Naombeni msaada wa jinsi ya kutumia sim hiyo hapo juu kwa sababu kila nikifungua app yoyote inadai network haiko sawa wakati mi naona setting iko ok,natumia zantel.
Bandugu naomba mwenye kitu inaitwa IMonitor EAM Professional full version anisaidie tafadhali, nina shida nayo saaaaaaaaaaaaaaaana kwa matumizi ya hapa kazini.
Natanguliza asante kwani najua...
Mazeya kwa yeyote yule anayejua digitizer(touch screeen ya nokia lumia 900) anijulishe plzzz yangu imecrack lakini kioo kizima chote,kwa anayefahamu zinapouzwa na ni bei gani? Au kama mtu ana...
Natumia blackberry 9800 na mara nyingi najiunga blackberry plan ya 500 kwa siku mbili tatizo nikifungua yahoo mail kwenye opera min inagoma na pia nimejaribu kwenye Lg inayorun android pia imegoma...
samahani jamaa zangu naomba msaada mwenye ufaham kuhusu satellite receiver ya x master 3g min HD je inauwezo wa kufungua channel zilizopo kwenye satellite ya SES4 @22w. natanguliza shukurani.
Nimezoea kwenye madishi makubwa kwenye channel napata radio ila dstv kwenye audio ndo unashika radio ila sijawahi pata za kitanzania.mweye ufahamu nataman kushika radio za kibongo via dstv...
Wakuu naomba mnijuze kama hili linawezekana, zamani wakati wa analogy nimewahi tumia tv tuner sasa kwenye hii digital kuna uwezekano huo kweli?
Natanguliza Shukrani!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.