Wakuu huwa napenda kununua internet Unlimited Bundle, lakini nimeona mara nyingi siwezi kutumia hata nusu ya hilo bundle kabla mwezi haujaisha.
Nafikiria kushea matumizi na watu wengine. Je...
habari zenu wakuu..
nimekua mtumiaji mkubwa wa internet na computer pia, kuna vitu ningependa kufahamu kwa undani zaid. LAN internet ni nini, unapoingia internet cafe utakuta kuna waya...
Ningependa kuwa na simu mojawapo ya Huawei. Je, hii model ya G610 kwa wale walionazo au wanauzoefu na simu za Huawei, simu hii inaweza kuwa nzuri kwa matumizi ya kawaida ya smartphone? Naomba...
habr wana jf
msaada jaman nataka kununua wireless internet router, mwenye uelewa na hv vitu anifahamishe coz nataka kuitumia kwny mazingira hostel il watu wafurahie huduma. na je gharama zake zpo...
nina galaxy s3 korean version(SHV-E210K) ila hai run ussd code like tigo pesa na kujinga xtreem pia haina switch ya kuwasha e(2g) au 3g(h),,iko na android ya (4.0.4).....msaada...
Habari wakuu,.
Naomba msaada wenu, kama ninaweza kuwa offline katika groups za WhatsApp pasipo kujitoa moja kwa moja.
Kama nitakapotaka kurudi niweze kufanya hivyo bila msaada wa...
Nipo vacation nchi ya watu marekani, nataka kununua tablet ila nina mashaka kama zitafanya kazi vizuri bongo.
Kwa wajuzi wa mambo, nahitaji kujua ninunue tablet gani ambayo nitatumia bongo...
Jana tulikaribishwa nyumbani kwa rafiki yetu ili tuangalie fainali za kombe la dunia hiki mitaa ya tegeta basi wakati tukiangalia mtanange huo umeme ulikuwa unaongezeka mara unapungua mara tu...
Leo kwenye kipindi cha teknoleo kinachorushwa na tbc walikuwa na jamaa waliotengeneza sola panel kwa kutumia mkaa na inafanya kazi.
kama kuna anaefahamu kuhusu hilo tusaidiane hapa.
Heshima kwenu wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu maelezo ni kuwa napoanza ku-instal itaenda kidogo punde italeta ujumbe huu 'setup cannot find groove.en-us\groovemuiset.msi...
kwa wale wakereketwa wa IDM hii hapa link ya setup V7.1 full pre activated
https://www.dropbox.com/s/9n1ak89een47b1s/IDM%20Latest%207.1%20Full%20Version%20%28Pre-cracked%29.zip
Habari za siku wana j.forums nmeona nweke hii post ya program itakayo kuwezesha kucopy mafile ya mwenzio bila yeye kujua, Kuna wakati Tunahitaji vitu flani mfano kucopy data muhimu kutoka kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.