Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wakuu my laptop ipo very slow kwenye kuplay some of the games one of my friends ameniambia probably its due to the ram that am using ambayo ni 1GB so nilikuwa naomba kujuzwa kama kunauwezekano wa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Naomba msaada kwa wataalamu wa magari ili niweze kujua ni engine gani ya Toyota inafaa hapa baada ya hii nissan GA 16 ya ulaya kunisumbua sana naomba msaada wenu.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta mtu mwenye Battlefield 3 naomba msaada wenu wakuu ,pia hata best link ya kuidownload hiyo game itansaidia
0 Reactions
2 Replies
1K Views
naomba kueleweshwa kutoka kwa wale wataalamu wa mambo ya milipuko. kuna kitu kinaitwa bomb neutralizer ila sijui kama ni kifaa au nacho ni mlipuko. kifaa hiki kinatumiwa kulipua bomu kwa kulifuata...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mediatek watangaza processor mbili mpya mt6595 biglittle 4cortex A17 4cortex A7 na mt6795 true octa core ya 64bit 2.2Ghz mt6795 ina uwezo wa kurecord full hd video hadi 480fps hivyo kuweza kupata...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau kuna namba ya simu nimekuwa nikipiga kwa muda mrefu sasa najibiwa na sauti ya customer care "Namba imefungiwa". Nimejiuliza sana hii ina maana gani? Je itakuwa mwenye namba amefanya kosa...
0 Reactions
23 Replies
18K Views
Rock star tayari wametangaza officially kua gta v itakuja kwenye pc this fall.. Umecheza gta v.. Ngoja tusubiri new generation ya gta v itakavyokua
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Hoja yako inaonesha kuwa unatakakufahamu jinsi ambavyo mifumo ya computer inafanya kazi. Sitakupamaelezo ya kitaalamu sana lakini nitajitahidi angalau ufahamu hivi vitu vinafanyaje kazi. Mfumo wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar JF Nilikuwa na fungua jf kwenye window mobile Kwa muonekano kama wa kwenye PC lakin siku 1 nika change kwenye wapset pale chini mpaka Leo imegoma na cjaona sehemu ya kurudisha kwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wandugu naitaji kioo cha sumsung lcd 32" mwenye nacho au anafahamu nakoweza kukipata anijuze wana jf
0 Reactions
0 Replies
751 Views
Wakuu habar za kaz!! Naomba kujuzwa duka zuri hapa dar wanao uza name kufunga music nzur name kubwa; my no 0769038065.
0 Reactions
0 Replies
616 Views
N:B EDUCATIONAL PURPOSE ONLY Good Guy Add some more fire effects !
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina Simu Htc Ryme s510b tatizo lake huwa kuna muda ina goma kabisa kuandika msg au ku search majina japo nikienda uwanja wa msg maandishi yana onekana ku sense lakn upande wa kutokea maandishi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
leo ilikua ni presentation ya nokia kwenye mobile world congress na kama kawaida nokia hawajatuangusha wakatuletea simu 5 za bei rahisi zaidi. nokia 220 hii itukuwa kama s40 nyengine simu ya...
5 Reactions
40 Replies
9K Views
Huge Meteorite on Mars Discovered by NASA's Curiosity Rover...
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Wap ni sehem nzur naweza kusoma network adminstration and kupewa cheti cha CCNA na ni shilling ngap?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
haha samahanini jamaa...... nimekuwa nikiingia net kupakuwa mizki ya bongo mf wimbo mpya wa mavoko umewekwa kupitia www.mkito.com ambayo unalipia baada ya kupata 10 za bure. kwa kawaida tulizoea...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Natumia PC desktop ya HP window 7 Naomba kujua jinsi ya kutumia simu Yangu tecno m3 kama modem kwa kutumia USB cable! Natanguliza shukrani!
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wataalam Nimejuzwa na wadau leo kwamba simu aina ya Samsung inaweza kuzima au kuwasha Tv aina ya Samsung. Hata hivyo mdau hakuniambia kama ni Samsung smartphone au aina zote. Binafsi...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Hi friends I would like to find here satellite feedhunters from Africa. With possibility to make screenshots of feeds. Anybody here?
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Back
Top Bottom