Imagine following situations:
You have a Google Android device but you don't have Internet connectivity
You have Internet connectivity but you don't have Google Play Store in your device
You...
Wakuu,
Nipende kuanzisha hii contest kwa wakali wa graphics ambao watafanikiwa kuja na wallpaper nzuri ambayo wadau wataikubali kuwa inashika #1 kuliko nyingine kwa mwezi Februari.
Endapo...
Jambo wakuu. Nina laptop hp630,nilimvua mtu na kuamua ku-install window 7.Cha ajabu ni kwamba lugha kwenye browser yoyote ninayo install ni Kirusi,mabingwa naombeni msaada kubadili lugha na kuwa...
Wakuu nimekuwa nikitumia modem ya Voda na Airtel kwenye laptop yangu kwa muda sasa. Cha kushangaza sasa kila nikiweka modem yoyote kati ya hizo haikubali kufanya kazi. Nika uninstall zote ili ni...
Wataalamu wa teknolojia.. me nina king'amuzi cha azam, dstv na Startimes.
Nimeangalia ubora wa picha na sauti.. naona startimes wanaubora mbovu sana..
Je startimes wamepunguza ubora wa picha...
habar zenu wana jf ??? cm yangu inasumbua kila niko download Google play inaniambia your requested item could not be found ......... nn Tatiz??? msaada tafadhal....
nimeinstall upya windows kwenye laptop window 7 bit 64 , sasa kila nikiinstall adobe master collection haimalizi na inasema ' please insert disk adobemastercollection5-trial-english to continue' ...
Designing a banner for your blog or website has never been this easy. You can now create professional banners with very impressive graphics and automatically generate the html codes which you...
Kwa wale wadau wa movies,Najaribu ku search bitcq kwa ajili ya ku download movies lakini inakua hai respond chochote wala hata hai search movie ninayo itafuta,nashindwa kujua nitumie web gani...
Portable applications are useful if you use many different computers. You can take your library of applications with you and use any Windows computer to run them. However, what if there is an...
Physics teacher said expansion gaps in railways are a must to prevents rails from buckling during hot weather. Good! The trouble is gaps cause discomfort and noise as train wheels go over the...
Habari za majukumu wakuu.
Nina Dell gx280 sifa zake:
HDD :80GB
RAM :2GB
PROCESOR :3.6GHz
OPERATING SYSTEM : WINDOWS XP ROYALE SP3 2010
JE Ninaweza weka WINDOWS 7 na ikakaa vizur...
Wakuu, Natumia tecno S9, lkn bado inanizingua yaani sijaielewa vizuri. Sasa kila app ninayotaka haifunguki, neno "whatsap is denied to read contacts" ndo linakuwa displayed!
Naombeni msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.