Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
In an ongoing series on hybridizing fruit trees, Syracuse University sculptor Sam Van Aken’s Tree of 40 Fruit is true to its name. Most of the year, it looks pretty ordinary, but in the spring...
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Wadau wa bb nifundisheni jinsi ya ku_upload picha humu kwenye JF kwa kutumia bb8520 Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Yaani napata raha kweli kweli, mitandao mingine mtasubiri sana mimi na tiGO tu mpaka mjirekebishe
3 Reactions
78 Replies
8K Views
guyz anae weza kunisaidia simu yangu motorola mb853 , nilikua nina weka firmare upya kwa kuwa iliokuepo ilikua ikigoma kuenda katika recovery, so nilipokua naweka upya iliishai 99% na ikafail...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
tuzungumzie hii kitu. July 22, 2014 by Ashu Singh New Dual Boot SmartPhone with Android 4.4 and Windows 8.1 : Nokia Power Ranger...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba nitoe maelezo ya kina juu ya ombi langu na atakaye nielewa naomba anisaidie, ni hivi ninataka kufanya yafuatayo, 1. Kufanya shooting kwa kutumia camera zaidi ya moja 2...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wadau nisaidien jinsi ya kutofautisha hizi cm maana zinafanana sana huwezi kuzitofautisha kwa kuziangalia tu, mfano Samsung galaxy s4
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina web-based mobile browser application, ambayo ningependa user awe anafanya malipo ya item anayonunua kwa kutumia M-PESA, Tigo PESA na Airtel Money. Naomba msaada wa jinsi ya ku integrate na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Speed kubwa ambayo nimewahi kutumia ni 3.2 MBPS tena nikiwa Dar tu! Sasa leo niko huku Wilayani nayaona haya maajabu ya karne ya speed ya ajabu ambayo sijawahi si tu kuiona hata kuisikia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wkuu..habari zenu Mwanzo nliweza ku unlock hii modem ya airtel zte mf 190. Sasa leo nimepata nyngne nataka ku unlock naona Dc unlocker ninayo tumia sasa ni miznguo maana inaleta habar za user...
0 Reactions
3 Replies
725 Views
Wadau nimeunguza gx 620 power supply ya dell model n2757-00. Inaweza kutengenezwa? Kama unayo niuzie. 0767409355
0 Reactions
2 Replies
956 Views
kwa shiling 300,000 je naweza kupata smartphone gani nzuri? Nisaidieni wadau
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari Wa Jf. Mie Mpenzi sana Wa technologia. Sijisikii Vizuri pale kitu kinavyonipita bila Kukielewa. Katika Mtandao Wa instagram vidude nlivyoviattach vinapatikana Wapi ili kutia Mbwembwe kwenye...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu nimesikia hii kitu inawezekana na Downloading speed inakuwa kubwa lakini kila nikijaribu basi Huwa zote hazifanyi kazi, kwa anayefahamu naomba maelekezo zaidi.
0 Reactions
40 Replies
8K Views
KWA UFUPI Kama zilivyo kada nyingine za sayansi, waongoza ndege wanapitia mafunzo ya kina ya nadharia na vitendo katika vyuo vya usafiri wa anga. Wiki iliyopita Mkufunzi Mwandamizi wa usimamizi...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Wana jamiiforum hivi chuo gani hapa tanzania kinafundisha elimu ya komputa vizuri ? naombeni maoni yenu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wajuzi wa simu naomba msaada wenu nahitaji kununua hii simu nimeikuta duka la Samsung pale makumbusho kwa bei ya 190000 nikasita je inawezekana kweli ikauzwa kwa bei ikawa ni Genuine...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumia Acer min computer, window 7 Nime install Kaspersky ant virus kwa licence ya mwaka mzima na iko updated kabisa, tatizo nahisi computer ina virus japo nimekua nikifanya window update na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Eclipse IDE Kamaunampango wa kuwa computer Programmer, Java paradiso ni sehemu nzuriya kuanzia kwa ajili ya kufikia malengo yako. Unawezakufatilia vizuri mfululizo huu wa tutorial kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom