Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari JF people, Nahitaji redio 20 za solar kwa ajili ya mradi vijijini pamoja na digital voice recorder. Ambae anajua kampuni au unadeal na hivi vitu please niambie. Kama utakuwa na contacts...
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Wakuu habari za saa hizi mie natumia huawei Y511 -T00 ila tatizo haisupport huduma nyingi za google kama vile google play service,google pay store na youtube sijui tatizo ni nini mwenye ujuzi...
1 Reactions
2 Replies
741 Views
Wana jf Nahitahi msaada nina samsng s advance ilikuwa na tatizo la charging system akaitengeneza ikapona ila likazaliwa tatizo jingune usb cable haisomi pia haiwezi kucharge ikiwa...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Nina tablet yangu aina ya forsea. Ilikuwa na tatizo la button za kuwashia kuzama ndani. Niliipeleka kwa fundi mmoja kwa mara ya kwanza akaziweka sawa lakini baada ya mda tena kuna mtu aliiforce...
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Ningependa kuwa up to date katika kutumia computer yangu lakini sina fedha! Je nitaipataje microsoft office 2013 ya bure pamoja na activation code yake? Tafadhali naomba msaada!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari Natumia android 4:1:4,mwanzoni apps zote zilikua zinafanya kazi ila kwa sasa kuna baadhi ya apps nikizifungua napata error message"this app wont run without google play service which are...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hallo Wana JF. "LETA IBADA SEBULENI KWAKO" Ni SLOGAN ya King'amuzi ambacho kinakupatia TV-GOSPEL CHANNELS zaidi ya 80. Na kukufanya uwe Connected na UWEPO Wa ROHO MTAKATIFU/MUNGU Muda wowote...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
A cyber attack will eventually hit your business and the key to bouncing back is being well prepared. “It’s coming ... are you ready for it?” saidScot Ganow, an attorney with Dayton law firm...
0 Reactions
0 Replies
719 Views
RADIO hackers have reverse-engineered some of the wireless spying gadgets used by the US National Security Agency. Using documents leaked by Edward Snowden, researchers have built simple but...
0 Reactions
0 Replies
704 Views
Now days there are have been some websites/forum/social media etc where you register and use your e-mail address as "username",most people do not know once they put their e-mail addresses as...
0 Reactions
0 Replies
499 Views
Habari wana jf naombeni mnielekeze wap nitapata Front Glass ya Samsung galaxy s4 na ni shiling ngap. Naombeni msada please
0 Reactions
0 Replies
645 Views
Habari wana jf naombeni mnielekeze wap nitapata Front Glass ya Samsung galaxy s4 na ni shiling ngap. Naombeni msada please
0 Reactions
0 Replies
630 Views
A new jailbreak from a Chinese team dubbed "Pangu" has been released, and reports are spreading quickly around the Internet that it does indeed successfully install the famed "Cydia" jailbreak...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu naombeni msaada wa bei za simu tajwa hapo juu na mahali/duka la uhakika naloweza kuzipata kwa urahisi.naombeni msaada sana wakuu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
naombeni nisaidiwe jinsi ya kuandika text link kwenye post za facebook kwa mfano kama ukaandika (wale) uki click inakuredirect kwenye link husika
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba msaada kwenye Tecno P3 android 2.3 imenigomea kufungua whatsap kila nikijaribu naambiwa nidownload new version imeoneshwa hapa ila kila nikijaribu haikubali Nisaidieni wataalamu
0 Reactions
4 Replies
713 Views
Amani kwenu Wana Jamii Forum.Nimejiunga na kifurushi cha Wiki airtel kwenda aitel.SASA cha ajabu na kunikasirisha kila dakika inakuja meseji kuwa (umeshatumia asilimia 70 ktk kifurushi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wa JF, Natumia U-torrent kwa ku download movies kwenye laptop yangu.Najiunga na bundle ya voda ya sh 1000/=bila kikomo, Napenda kujua ni nitumiea software gani ambayo iko speed katika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
habarini za leo,samahan nilikua naomba kuelimishwa jinsi ya kutumia whatsup kwenye sim yangu. kwa wakati huu naweza kutuma na kupokea ujumbe na picha,ila ikija video haifungui. laki nitawezaje...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari za mida hii wakuu, naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kuifanyia resetting nokia lumia 620 kwa mwenye ujuzi huo tafadhari msaada unahitajika, thank you so much in advance
0 Reactions
1 Replies
818 Views
Back
Top Bottom