Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
habari wanajamvi, naomba msaada nataka kujua kwanin sometime transiformer zinaungua secondary coil, mfano mimi nina tabia ya kuacha redio inaimba usiku kucha, sasa jana usiku ilipofka saa7 usiku...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Key
Naombeni key za office 2013
0 Reactions
4 Replies
877 Views
naomba kuuliza jf mimi naishi shinyanga vijijini nataka ninunue king,amuzi sasa king,amuzi gani ni kizuri kitanifaa ila kiwe kina kamata emanueli tv pia kiwe cha kulipia bei rahisi sana.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kakobe kauzuia umeme wa KV 32 usipite kutoka UBUNGO kuelekea MAKUMBUSHO. Umeme ukiwashwa Ubungo huflow hadi nguzo moja jirani na kanisa la Kakoba na baada ya hapo hauendelei ku flow, je ni...
0 Reactions
85 Replies
9K Views
Ndg,wanajamvi. naombeni maujuzi ya kuunganisha Blackberry z10 na android,maana nimesoma kwenye update zake kuwa version 10.2 ina uwezo huo. cc.Young Master,chief-Mkwawa ctc
0 Reactions
11 Replies
2K Views
camera yangu haitoi picha mzuri aina ni sony yenye pixel 10 sasa nataka kununua camera mpya nizingatie nini pia pixel mzuri ni ngapi?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kiukweli hizi fani zinanisumbua. Kuna Electrical engineering kivyake, vilevile kuna Electronics Engineering, pia ipo nyingine combined (ELECTRICAL & ELECTRONICS ENGINEERING) Shida ni kwamba...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habar wataalamu naombeni msaada, simu yangu inanata nata ninapotumia au ninapopiga picha je tatizo ni nini?
0 Reactions
6 Replies
958 Views
Naomba msahaada kutoka kwenu nawakilisha
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu ni browser ipi kali kwa speed mnayotumia kwenye computer zenu, maana nimejaribu browsers nyingi lakini now napata karaha ya kufungua baadhi ya websites kama Jamii forums na nyingine zenye...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Nina laptop yangu inashindwa kucheza youtube picha nifanye nini naomba msaada sio mzoefu sana wa kompyuta
0 Reactions
2 Replies
976 Views
Wakuu sim yangu inadownload app za kichina bila kutaka,nikifungua internet ntu,inaanza.....na kuondoa haitaki,nisaidieni tafadhali
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Visitprofit.com - Scam or Legit? If you've landed on this page, you probably must have gotten a link from your friend or family on social networks like facebook, claiming that you can earn money...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada kuhusu menu ya crdb najaribu kuingiza namba hizi ili nipate menu ya crdb lkn majibu yanayokuja ni tofauti na mahitaji yangu nikiingiza *150*03# ili nipate menu inaleta maelezo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
tg =6000/=only just PM
0 Reactions
2 Replies
991 Views
Wakuu naomba msaada,natumia Samsung s4,phone memory ilikuwa inasoma free memory ni 12gb nilidownload app tatu hivi zenye jumla ya 45mb,nashangaa zimebaki 3.4GB ntu,ninashaka sim yangu imepata...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
this is for legal use only...pd and tg codes for only for 6000/ only..ni PM if unahitaj... kaibu
0 Reactions
5 Replies
880 Views
natumia cm ya android, na nimeinstall mobogenie kwa ajili ya kupata apps, kinachoniudhi kuhusu hii kitu ina automatic shorticut creation muda wote ukiifungua... hata kama shorticut ipo yenyew...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Je kuna yeyote aliyefanikiwa kununua bidhaa yoyote kupitia mtandao huu? Je ni salama? Mpaka kupata bidhaa yako ni mchakato wa siku ngapi? Naomba uzoefu wako.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina Simu Yangu ni Samsung GT S55701 Shida ni Kuwa Ina External Memory ya 8GB na Iko Tupu Wakati Internal Imejaa Sasa Ninapojaribu Kuhamishia Kwenye External App Zinagoma Nifanyeje?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom