Kuna Tetesi tangu mwezi March kwamba Apple wanaweza kueka Itunes store on Android Divices !
Na hii inatokana na Music sales kwenye Itune store Kushuka kwa kasi !
Report from billbroad Apple...
Hello, get to know how the CLOUD TECHNOLOGY is by visiting this Link below: http://www.cybersecuritywarning.com/let.php?sorsz=1222134354;17610610;;;8. If you will be interested please sign up...
Wadau naomba mwongozo wenu,
Ile system ya NIDA isingeweza kuwa pamoja na hii ya NEC? If the answer is yes why do we have to loss all these scarce resources? When a centralized national database...
NIMEFANYA Installation ya Ms 2010 ila inadai Activation id, ila wakati nafanya hiyo installation ilitaka CD keys nikaweka na ikakubali. sasa haifanyi kazi yoyote inayohusika na ms word package...
Ni lap top aina ya Dell inspiron.
HDD 800
CORE i 5
Ram 6
Processor 2.5
Screen inch. 17
Bei 700000 there is room for discount..
If you are interested call 0754224104
Niko Dar.
Bento Box Kinda Like Voltron
Bento is quite an exceptional and forward thinking concept by René Woo-Ram Lee. Its quite a plausible scenario that most of use/own a tablet, a...
Inawezekana wengi wetu tungependa kujifunza audio production na kuwa full producers au hata beat makers lakini hatujui wapi kwa kuanzia.Mimi ningependa kukushauri cha kwanza kuchagua software...
Chonde chonde jamani naombeni wadau kwa yeyote mwenye hyo software tajwa hapo juu!!!!!!! naomba anisaidie ambayo ni full vision, craked, au yenye keys
nmekuja hapa kwa sababu nme_search google na...
Heshima kwenu,
naomba msaada wa kufix laptop yangu Toshiba ukiiwasha inadisplay one of ur disk needs consistancy na ukiendelea inasema chkdsk verrifying msaada please
Habari zenu wakuu, naomba msaada kwenye hili swala maana nimekwama.
Nataka kuwa nikituma au nikitumiwa email basi blind copy iende kwa mtu fulani. Yaani mfano wewe ukinitumia email basi iende kwa...
helo wadau hii huawei y300 android phone yangu nikipiga simu au nikipigiwa siwezi kuitouch kukata simu touch haifanyi kazi kabisa hadi nibonyeze power button pia hata screen ikiturn off pia touch...
Naomba msaada kwenye Tecno P3 android 2.3 imenigomea kufungua whatsap kila nikijaribu naambiwa nidownload new version imeoneshwa hapa ila kila nikijaribu haikubali
Nisaidieni wataalamu
Habari wadau!
Naomba msaada wenu: nataka kuuziwa vitu vifuatavyo:
ID Printer
Camera (Id)
Na ile machine ya ku-capture signature (hata sijui inaitwaje)
Kama unavyo ama unajua vinakopatikana...
Nimetumiwa na tv tajwa hapo juukutoka Japan lkn pamoja kuunganisha ving'amuzi aina zote naishia kupata sauti tu bila picha. Mwenye ujuzi ktk mambo haya anisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.