Hello guys,
Jamani michezo ya kombe la dunia ndo kufunguliwa leo, natamani sana kuishuhudia but nahisi ratiba yangu itanifanya nishindwe kushuhudia mechi nyingi sana.
Please kama kuna mtu...
Natumia dish na receiver sasa nimefuta chanel zote bila kujua nisaidieni nizirudishe vipi na wapi? Msaada maana nipo kwa watu hapa wenyewe wakurudi yatakua makubwa
Sijajua tatizo ni nini, lakini mara baada ya kupiga window 7 previous mashine ilikua na wndw XP, disc D haionekani..!
Where have i done wrong?
Natanguliza shukurani!
Wakuu salamu,
Naomba msaada kama kuna uwezekana wa SKY BOX (uk) kuweza kushika satellite likiwa bongo,
Je kuna program yoyote inatakiwa? maana nilikuwa na box yangu sina kazi nayo...
Picha tunazopiga kwa digital camera na simu...tuzuhifadhi vipi?
simu yaweza kuibiwa au kuharibika computer pia na memory card pia
je tuzi hifadhi vipi?
online pia haziko safe...unaweza sahau...
wakuu nina galaxy S5 hapa inatumia T-mobile ya US nauliza kwa yeyote anayeweza anaweza kuUnlock au kama unajua website au software Ya kuUnlock nitumie kwa mitandao ya Tanzania.
kama kuna mtu...
Wenye ujuzu na ipad Nina ipad 3 ni unlocked nauliza kama kuna njia ya kutumia android na kupiga cm na kupokea cm bila matatizo.naomba musada wenu please!!!
Habari Wadau, nina printer HP COLOR LASER MFP1215 INA TATIZO LA TONER YA CIAN, Nimeshajaribu kubadili toner lakini nimejiridhisha tatizo sio toner.
Kama wewe ni mtaalam au unamjua mtaalam wa...
Piga kura yako hawa vijana wapate tuzo na hivyo kuipaisha bendera ya Tanzania kimataifa.
SMART CODES goes to thenext level with award nomination
Smart Codes, a tech startup from Dar-es-Salaam...
Jamani naombeni msaada, nina receiver /decoder ya azam tv, iliacha kuonyesha picha kwenye tv yaani hakuna chochote katika tv hata ile no signal hakuna lakini yenyewe inawaka, mafundi huku nzega...
Computer forensics is a new and exiting field that is gaining popularity. Because of the complexity and legal boundaries,
few truly understand what skills are required to be an effective computer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.