Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nina adobe leader ila naona haisuport words docs, wandugu msaada kwenye tuta. Niinstal apps gani kwa ajili ya task za microsoft word? Karibuni!!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau kwa anayejua jinsi ya kuweka au codes za testimonial page ​ kwa ajili ya blogspot ,msaada wako unahitajika hapa tafadhali..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Guys, naomba msaada wenu. Mwenye uelewa wa namna ku download series naomba anielekeze tafadhari. Jana nimenunua CD ya jack Bobwer Live another Day mwendelezo wa 24 hours, cha ajabu ilikuwa na...
0 Reactions
63 Replies
7K Views
Salaam wakuu! Nimekuwa mtumoaji wa airtel internet kwa muda mrefu ambapo natumia huduma ya jirushe tarrif ambapo huwa napata muda wa maongezi na MB /GB za wiki kwa au mwezi kwa smartphone yangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hi wan JF... Ni vitu gani muhimu vya kucheck ili kutofautisha Galaxy note 3 and clone...? Msaada wenu wadau..... Nawasilisha..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nikiweka moderm inaconnect vizuri lakini sipati internet pamoja na kuunstail na kuinatail upya hali ni ileile hata nikibadilisha moderm tatizo ni hilo hilo naomba msaada wadau.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
English: Fee collection and management is one of the critical processes of a school. Easy-School- School Fees Management System - a complete school Fees management software- that stores all...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu naombeni msaada katika hilo....kama kuna software zinahitajika pia sio tatizo.. natanguliza shukran!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
natumia htc Desire c lakini cha ajabu playstore haifunguki mwanzo ilikuwa inafunguka kwa muda tu sasa ndio imegoma. msaada
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwenye kujua tecno P5 kutumika kama modem kwenye PC. Najua simu kama sumsung au nokia zinakuja na CD. Nisaidie kupata software yake.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu eeh,mi nina shida moja kubwa,whatsapp yng kila baada ya mwezi mmoja inaexpire,so inanibidi niidownload upya,kitendo hki huwa kinanikera sana wakuu,naombeni msaada kama kuna uwezekano...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Windows 8 was very different from Windows 7, but change is only speeding up — Windows 8.1 has seen quite a few changes since Windows 8. You’ll have new things to learn, whichever which version of...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nawezaje kuangalia Dstv kupitia pc yangu,nina connection ya internate kwa masaa 24.Kwa yeyote mwenye kufahamu tafadhali atujilishe kwa faida ya wengi.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
natumai hamujambo nilikuwa naomba kueleweshwa juu ya kutia windows tofauti kwenye extarnal hard drive. wakati unataka kutia windows kwenye pc yako na ukawa unataka kutia kwa kupitia extarnal yako...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Ikiwa kuna mtu au watu wanakusumbua kwa kukutumia msgs au kukupigia simu za kukukera basi watu wa aina hiyo unaweza kuwazuia, yaani unawa-BLOCK. Unaanza na Settings kisha Phone, ukibinya hiyo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Naomba kuwezeshwa ku download movies toka mtandaoni
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Najua kuna wengi watasema ni google kuona specifications za simu hizo. Lakini naomba kujua kutokana na experience za watu waliokwisha zitumia simu hizi ili name ninunuapo niwe najua kutoka kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau nahitaji msaada namna ya kuondoa error ya E 16 kwa DSTV. Nimelipia muda si mrefu ila bado sijapata service. Najua kuna namna ya kutuma msg kwenda namba fulani ambayo nimeisahau. Mwenye kujua...
1 Reactions
6 Replies
17K Views
Nilikuwa natumia modem ya Airtel kwa muda wa kama miezi mitatu kwenye Laptop yangu vizuri tu, cha kushangaza kwa sasa kila nikiiweka kwenye PC yangu haisomi, wala setup hairun, naombeni maujuzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom