Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Can you imagine that how a farmer has invented a way to turn old suitcases into motorcycles. There are some questions that came into my mind; can I still use that suitcase to put my luggage and...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Yaani ni shida tupu toka juzi jumamosi yaani nina kihela changu kipo kwenye M-PESA toka jumamosi siwezi kukitoa yaani utadhani nipo kwenye foleni ATM ya NMB. Voda tusaidieni jamani tunateseka sana!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni wapi naweza kuidownlod msaada wadau
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wakati mwingine kabla hamjafanya maamuzi ya kununua simu muwe mnafikiria pia swala la radiation likoje na je simu ninayokwenda kununua ina kiwango gani cha radiation. rahisi ya ghali simu yenye...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Tuna miezi takriban miwili tu kufikia kwenye tukio kubwa na la muhimu kabisa ambalo wapenzi wengi iPhone huwa wanalisubiria kila mwaka, the release of a new iPhone! habari zilizovuja kwenye...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hi guys, am using tigo moderm, but the speed doesn't satisfy me any how. Please help me how to speed it up.
0 Reactions
8 Replies
5K Views
jamani tokea jana channels za star tv, EATV na ITV sizioni kwenye king'amuz cha startimes nini tatizo?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jf Naomba msaada, Tv niliiwasha asubuhi ikawaka na nilipoizima na kuwasha tena ikawa ndo mwisho wa kuwaka, kwa anayefahamu tatizo naomba msaada.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari jf Naomba msaada kwa anayejua tatizo hili.Hiyo simu haijai naicharge siku nzima inanesha kuingia lakini haijai.Mwanzo nilijua tatizo betri nikanunua nyingine lakini tatizo liko...
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Jamani nina hii ipo kama modem ila sijui kuitumia.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habar wadau. Hapo mwanzo kabla mfumo wa digital haujafanywa kuwa rasmi nilikua natumia Tv tuner kwenye computer yangu nakupata channel za television kama mtu mwenye Tv, ila tangu imekuja digital...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nina simu aina ya pantech cross over toka At&t ilikuwa inafanya kazi vizuri tu ila kuanzia jana imeanza kufreeze yaani ukiwasha inatokea ile logo ya pantech afu inaganda hapo haiendelei hata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tuna tumia simu zetu kufanya vitu vingi sana kucheza games, kutuma na kupokea e-mails, kununua vitu, kupiga picha, kurekodi video na hata kupiga simu (ndio bado watu wanafanya hivyo). Sasa bila...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Wadau, Napenda kujuzwa kama message za whatsapp zinakuwa traced na zawezwa kuwa printed na hawa jamaa, Najua BBM haziwezi kuwa traced na kuwaprinted. lakini hizi za whatsapp ikoje? Ahsanten
0 Reactions
48 Replies
7K Views
Wakuu, kwenye wallpost ya gamba mahiri Mwigulu Madilu ameweka bandiko kuwa kama kuna mtu anaweza kutengeneza mobile application ya ussd inayoweza kuaccess mitandao yote, am in box. Vijana mahiri...
0 Reactions
2 Replies
901 Views
Laptop toshiba satellite c655 its show screen strange color how can i fix t
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Ufungaji wa king'amuzi sio kaz,cha kuzingatia inatakiwa utege dish katika mazingira haya:Unatakiwa ulielekeze dish upande wa magharibi na katika upande wa juu chini ni vyema ukaseti kwa no.60...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Habari wadau naomba msaada wenu.Natumia Windows 8 Pro na niliinstall program moja ya Android theme ambayo bahati mbaya ni ya Windows 7.Baada ya kuiweka Metro yenye Applications imepotea na kuna...
0 Reactions
1 Replies
904 Views
Natanguliza shukrani wakuu. Nina computer yangu aina ya Dell kwanzia jana najaribu kuwasha inagoma screen inakuwa black yote na inaleta ujumbe kwa maandishi meupe kwamba 1. AUTO DETECT ENTERING...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom