Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nlikua natumia lain ya airtel kwenye s4 na ilikua inafika hadi 4G. Ss nmeRenew lain nyngine lakin haifiki hata 3G inaishia EDGE tu. Nimejaribu kuweka laini nyingine tatu zinagoma hadi ya voda nayo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Lengo si kushndanisha hizi apps. ila ni kuwa hii palmchat naona ni application nzuri sana kwa watumiaji wa simu hzi za kawaida zinazosapoti java.(kama tecno n.k) kwani ina features karibu zote...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Simu ni Sony android 4.3,kwa anayeweza kunisaidia nitashukuru.:ranger:
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Ukisikia maelezo na matangazo kuhusu king'amuzi cha AZAM juu ya urahisi wa kurekodi vipindi katika USB flash unaweza husifikiri nilichokipata. Kikubwa ni kwamba Decoder yao inarekodi katika...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Mwenye kujua namna ya kuweka mfumo ukipoteza simu uweze kujua nani anaitumia mm nina Huawei natanguliza shukrani kwa majibu yenu
0 Reactions
2 Replies
604 Views
Kampuni ya Google ipo kwenye mchakato wa kutengeneza simu zitakazo badilisha namna tunavyoelewa na kutumia simu nyengine sasa hivi. Mradi huu unaitwa ARA. Simu hizi zitakua kama laptop vile..kila...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba msaada, nashindwa kuinstall baadhi ya program kutoka play store, niki download inakubali vizuri na inainstall kabisa tatizo nikitaka kuifungua inaniandiakia 'The application...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Msaada wajameni kwenye tuta,, Nina Flash nilimuazima mtu kuirudisha ikaja imepoteza mafile yang ila ujazo uko vile vile wa GB 4 ila ukifungua kuna file za MB 2 tu Hatua: 1. Nilijaribu kurecover...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, habarini za jioni. Kama heading inavyojieleza, nilikuwa Dar nikitumia modem HUAWEI E153 u-1 lakini kwa ss nimehama. Nilikohamia kuna tatzo kidogo la network ya tiGO, badala yake...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau nauliza kama kuna limitation zozote za kuinstall na kutumia software unapoinstall win8.1 kwenye ubuntu kw kutumia virtual box natanguliza shukrani wakuu
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Wakuu magwiji wa IT tuelimisheni nini kinawezesha kuona kurasa zikitembea (roll) kwenye smartphone na kwenye pc.
0 Reactions
1 Replies
713 Views
Wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu,nina BlackBerry Curve nimedowloads WhatsApp na kuinstall but nikifika hatua ya ku-Verify my phone number,nimeandika namba nikienda Confirm inagoma...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
How big a TV should I buy?Wondering what size TV to get? Wonder no longer. by Geoffrey Morrison @TechWriterGeoff July 11, 2012 9:47 AM PDT Updated: November 21, 2013 5:51 PM PST comments...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
LED LCD vs. plasma vs. LCDLED LCD vs. plasma vs. LCD: The ultimate tech choice. Debating on which HDTV technology to buy? Debate no longer. OK, not too much longer. by Geoffrey Morrison...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
New York Meya "Bill de Blasio" wiki hii alitangaza kwamba kutafuta mapendekezo ya namna bora zaidi ya kujenga citywide mtandao Wi- Fi kwamba anatumia simu ya kulipa vibanda kama maeneo yenye ...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilikuwa na Nokia Lumia lakini imeharibika button ya kuzimia/kuwashia iliyoko pembeni kulia ndani ya miezi 6 toka nimenunua. Nahitaji kunua smart phone durable na yenye longer battery life...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Ndugu zangu wapendwa habari zenu: Nimetumiwa picha whatsup ninapo jaribu kuifungua naambiwa(The download was unable to complete.please try again later) naombeni msaada nifanyeje ili nizione...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu wa mambo ya IT nisaidieni. Ninahisi kuna mtu anafuatilia malipo ninayofanya kupitia M-PESA,kila nifanyapo malipo kwa jamaa yangu fulani kuna mtu mwingine ananipigia simu.Hawa watu wawili...
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Habari zenu wadau wa sayansi. Poleni kwa kula bata kwa almost wiki nzima ila sasa mmerudi katika kazi. Pamoja na yote niwaombe mnisaidie juu ya hili tatizo langu. Ninatumia kompyuta yangu ya...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Wadau naomba kufahamishwa bei za microcontrollers 8051 series na wapi zinapatikana hapa Dar.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom