Hey guys... Ijumaa Kuu Njema.
For the time being nipo very remote area where no IT Techs but unfortunately my laptop doesn't boot at all... it just keep on restarting very soon DELL Logo...
habari wataalamu
jirani yangu aliicha simu ikiwa screen ina zile pattern sasa mtoto kaja kuchezea zimejilock naombeni msaada wenu jinsi ya kuunlock,ukifungua inajiandika too many patterns attempts...
Natumai hamujambo wakubwa na wadogo zangu kama mm.Hivyo nilikuwa naomba msaada wenu kwa anaejuwa vizuri matumizi ya PD PROXY maana niliwahi kujiunga zamani sana ila nikawa siitumii ila kwa sasa...
Jamani wadau,, nauza simu yangu galaxy s3..inatatizo moja tu,, haitoi sauti..ili tokea baada ya ku update operating system kumbe os nilioitumia sio ya model hii..yangu ni GT-i9300..ila kwa sasa...
Wakuu....za sikukuu?
Ninafahamu kuhusu open source software na licenses. Ila swali langu leo kwa developers ni kuwa siwezi kutengeneza apps za android bila kuadopt mfumo wa open source?
Na kama...
Habarini.
Nina modem ya ZTE model MF 190 na imeshakuwa unlocked...tatizo lake limezuka juzi kwamba kila niki connect inafanikwa kwa dakika chache then ina disconnect yenyewe.
Nimejaribu kuchek...
:becky:
If you use broadband, you can make webpages load even faster in Firefox by using this "pipelining" trick. Normally the browser will make one request to a web page at a time. When...
Mahakama Yaamrisha Kim Dotcom Arudishiwe Mali
Mmiliki wa mtandao wa kubadilishana mafaili kwenye intaneti unaojulikana kama MegaUpload ambao umefungiwa Bwana Kim Dotcom amepata ushindi mkubwa...
Now you can post a Blogger blog from your Android phone using new app introduced by Google. The app is launched on February 2011 and is absolutely free. It requires Android OS 2.1 or above...
Habari wana jf
naomba yeyote mwenyekujua jinsi ya kufanya screen shoot kwenye pc
natumia laptop aina ya Toshiba satelite Operating system ni window 7 starter
Nendag katika andress box yko thne andka opera:config
Itaload na kuna menyu itakuja thn shuka chni utaona 30 xo change iwe 3600 thn save.
Baada ya hap katka andress box andka...
According to Tim Rains, director of Microsoft Trustworthy Computing Microsofts threat modeling tool updated with new features designed to offer organizations more flexibility and help them...
HAbari zenu wanaJF. Nina laptop yangu imeungua housing(cover) lake. napenda kuuliza kama huwa zinapatikana na kama zinapatikana ni maeneo gani? mimi nipo Dar na laptop yangu ni DEll INPIRON...
habari zenu wadau..
kuna tatizo limejitokeza ghafla kwenye CPU yangu,
nikiwasha haiwaki but taa iliyomo ndani yake ya AUX inawaka, Power supply yangu ni mpya na iko poa coz nimejaribu kuiwasha...
Kama kichwa kinavyosema youwaveandroid ambayo nimekuwa nikiitumia katika pc yangu
kwa ajili ya kupata Whatsaap imebuma na sijajua tatizo ni nini hasa.
Nimejaribu kui unistall kisha kuinstall upya...
Wandugu naombeni msaada wa namna ya kupata 3G kwa simu yangu ya LG 4G LTE natumia line ya airtel ila kwa network inasoma G ambayo inakuwa very very slow kwa net..msaada ndugu zangu..nimepiga...
nimeinstall skype nikajaribu kufungua majibu ni haya zimekuja options za lugha nimechagua english halafu neno lililo fuata ni open kpad baada ya kufungua hizi kpad hakuna kilicho endelea naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.