nime -download na ku- install whatsapp katika simu yangu (tecno t736),nilipofanya "installation" niliambiwa "installed successfuy"file lake lipo kwenye "java" lakini ninapotaka kutumia "whatsapp"...
Nimepata mshtuko wa kuondokewa na kipenzi window Xp, naipenda sana kwani ni nzuri kwa wajifunzao Kompyuta. Tarehe 8 mwezi wa nne mwaka 2014 ilikuwa ni mwisho wa Microsoft kuendelea kuisupport...
Mwenye Simu mtumba.(Iliyotumika) na bado ipo ktk hali nzuri niPM
SIFA.
Iwe Smartphone.
Mwenye Huawei Ascend D2
Samsung S2 na S3 atapewa kipaumbele.
Pm pamoja na bei yake.
Saa Za Gear: Samsung Imechanganyikiwa?
Samsung katika medani ya simu na vifaa vyake (accesories) imekuwa ni kampuni ya kufuata na sio ya kugundua au kutangulia. Ila mwaka jana miongoni mwa...
Wale wapenzi wa google glass au wearable computer kaeni mkao wa kula,google wameanza kuuza glass hiyo kwa consumers wa marekani.
Ni matumaini yangu baada ya hapo tutafikiwa wapenzi wa miwani...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kwa kuwa hapa JF hatujapungukiwa na kitu katika idara zote, nimeona hili nimalizane nalo hapa hapa.
Nahitaji member mwenzetu hapa ambaye yuko vizuri kwenye...
Habari wadau. Naulizia huduma ya unlimited internet ambayo kuna mdau aliinadi mwaka jana humu jukwaani kama bado ipo kwani napenda sana muvi ila ghalama za kudownload ndio kubwa kwa mitandao yetu...
Hivi karibuni senior member wa XDA Developers amefanikiwa kudevelop ROM za Simu za Nokia X zenye Android ambazo zilizinduliwa mapema mwaka huu. Hivyo wapenzi wa Nokia msivunjike moyo kama...
Krrish 3 movie is based on super hero theme where hrithik saves people's life whenever they are in need or in danger. Krrish 3 movie is full of special effects, this game gives real feel of the...
Oya wadau habari zenu,
naombeni msaada basi wa kuchakachua king'amuzi cha StarTimes ili niweze kupata chaneli nyingi za bure, nitimize haki yangu ya kikatiba ya kupata habari.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.