Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Simu zina operate katika different frequencies (bands) na hii inategemeana na Geographical location! Kuna bands zipo nyingi na tofauti tofauti ikitegemeana na uwezo wa simu! 2G Network...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
hv hz term zna maana gan na znatumika vp kwny simu? Kwa anayejua tafadhal HELP...!!
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wana Jf kwa anaeijua hii course anisaidie especially wapi ina apply
0 Reactions
3 Replies
718 Views
Nilinunua modem ya Tigo hivi karibuni. Hapo juzi ilikata ghafla na tangu hapo inakataa kuconnect, nimewauliza Tigo wanadai wapo kwenye marekebisho ya mitambo lakini naona siku zinakata tu hivyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama unayo tuwasiliane nipo dodoma 0713101977
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu naomba mnisaidie kunlock modem yang ya ZTE airtel nataka niitumie na line tofauti model MF190A...
0 Reactions
5 Replies
853 Views
Mwenye dashboard original ambayo haijachakachuliwa (untouchable) ya Huawei Hilink e303 ya Vodacom anisaidie.
0 Reactions
5 Replies
950 Views
Nashindwa kabisa kufungua internet kwenye simu yangu ,simu yangu ni samsung galaxy star GT S5282 Inatumia wireless for fidelity(WiFi),ina mwezi mmoja tu na settings kila nikichange inagoma ,hata...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
iPhone 5S (good condition) inahitajika leo hii. Budget yangu 750,000/= cash. Rangi yoyote, capacity yoyote na iwe factory unlocked. 0716-904626 0767-174757
0 Reactions
0 Replies
732 Views
wadau nnamtafuta mtu ambae ana masafa ya FM ya Mkoa wa Dar es salaam,nnajua wapo ambao wanayo ila bado awajaingia hewani,nnataka ku venture nae ili nianzishe radio ,mwenye nayo ani PM...
0 Reactions
0 Replies
755 Views
katika pitapita nimekutana na hii hebu tu sheeeeee!!!!!!! 1. Hide SMS Text Contacts Calls: Hide SMS Text Contacts Calls is a nice app which makes it everything possible for you in one single...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
wanajamvi, naombeni msaada wenu jins gan ya kurudisha social application na mail katika simu yangu maana vime potea katika hii simu na sielew jins ya kuvirudisha
0 Reactions
0 Replies
791 Views
Habari wadau nimetumiwa iPhone 5 toka UK,sasa nimejaribu kutumia line ya tigo Simi inaniambia hiyo line ni invalid,Nafanyeje ili niweze kutumia hii Simu kwa mtandao Wa hapa tz?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
wote humu kwaza salam kwa wote nimepata tatizo amabalo halijawahi kunitokea katika compyuta mi si fundi ila nachokonoa chokonoa kama mashine ni yangu hua najifanyia mwenyewe ila leo kwa hili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu kwa aliyefanikiwa kufanya verification ya CRDB VISA card kwenye PayPal na akafanikiwa anisaidie, mimi inanipa msg "billing address doesnt match with paypal street address. NB: hii card...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
HINTS: 1. go to www.boxbe.com 2. login with your details that you registered with 3.go to DASHBOARD 4.Click SETTINGS 5.click ACCOUNT INFO 6.click CLOSE MY ACCOUNT 7.untick all options there below...
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Wakuu, nina Apple IPhone 4S. Naona toka jana nikichaji baada ya kuchomoa tu chaji inaniambia "battery low, shutting down". Nahisi battery imekufa kwani wakati wa kuchaji inaonyesha chaji inaingia...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Heshima yenu wataalamu. Naomba msaada wa namna ya kupata na ku-download opera mini katika simu ya Nokia Lumia 720. Thanks in advance....
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Hallo JF Members. Naomba kujua nani kinara wa Speed ya ukweli kwenye issue ya Network kati ya hao wawili nlowataja hapo juu!??? Je, Kitaalamu ADSL Internet Broadband Vs 4G LTE Internet ni ipi...
0 Reactions
25 Replies
10K Views
naombeni kusaidiwa kugundua sehemu ambayo naweza kupata maji kwenye kisima cha kina kifupi..pia najuaje sehemu hiyo hapana maji ya chumvi..pia je maji ya chini yanafaa kwakilimo cha...
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Back
Top Bottom