Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kumekuwepo na mitazamo ya kutofautiana kuhusiana na simu hizi ambapo wachambuzi wengine wa masuala ya simu, wanadai S5 ni simu bora kabisa katika soko la smartphones za kishua kwa sasa. Hata hivyo...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari ya leo, simu yangu aina ya asha305 imekufa TOUCH, natafuta fundi, niko Dar TEMKE. yeyote anayejua kuirekebisha ani PM Tafahali. au anipigie 0652 210 584
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Natumia laptop aina ya hp pavilion os ni window 7 professional. Tatizo ni kwamba haioneshi icon ya betry ambayo itanisaidia kujua kiwango cha charge nimeshajaribu kwenda kwenye control pannel...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama jamvini humu kuna anayefahamu hili anisaidie, kuna pc ilikuwa na WINDOW ya xp sp2 na ilipopata shida akaamua kuformat. Badala ya kufuta WINDOW na kuinstall nyingine aliingiza windows nyingine...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Habar zenu wandugu, Mie nina Computer (Laptop) aina ya HP ProBook 4540s ina Window 8. Tangia ni inunue imekuwa na tabia ya kufuta maifili yote ya desktop na my documents automatically kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kujua jinsi ya kumtoa mtu kwenye akaunti yako ambaye hapo mwanzo ulimu-add kama friend, hapa nna maana ya kwamba yeye pia asione profile yako kwenye akunti yake, pia namna ya kubatilisha...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau nimenunua Nokia Lumia 520 ili niweze kuitumia kama wireless modem lakini cha kushangaza kila nikiwasha wireless inaji-switch off kunipa ujumbe kwamba "connection is unavailable". Nimeenda...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu wa sayansi na teknolojia mpoooooh! Naomba kusaidiwa kupata dstv chanelz bila kulipia PM now! 0657496629
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Namna ya kutambua vifupisho(abbreviations)vya maneno ambayo yanatumika kwenye TV, mfano AGC,AFC,IF,AVC,BT/TV,VCC,IR,APC,BW,CRO,LCD,UHF,VHF,VLF,NC,VCE,VBB,BH,BL,BU,RGB and etc.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Galaxy note 3 General 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 - all models CDMA 800 / 1900 - N9009 3G Network HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100 - N9005, N9002, N9006 HSDPA 850 / 1900 / 2100...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MOBILE PHONE EXPRESS COMMUNICATION LTD® we are one of the leading mobile phone distributorsis. We are legitimate registered company under government registration and licensed, Registered...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wadau mimi naomba msaada wenu wa kiufundi jaman simu yangu niliweka screen protector ila kwa sasa imekwaruzika nlikua nauliza jaman kama naweza kuitoa na kuweka nyingine msaada tafadhal
0 Reactions
4 Replies
950 Views
wataalam nimeshangazwa na hii modem wakati nafungua dashboard nikaona imesoma 26.2Mbps nikahisi macho tu ikabidi niangalie kwenye statistics nikaona kweli ilifika huko japo iligusa tu na kurudi...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna mtu anaweza akaniambia Tanzania tumepiga hatua kiasi gani katika mambo ya 3D animation ikihusisha matangazo ya TV na Filamu?
0 Reactions
14 Replies
3K Views
msaada jinsi ya kujiondoa kwenye kifuruashi cha internet cha kila siku cha vodaco
0 Reactions
0 Replies
2K Views
naombeni msada wapendwa memory card yangu ya simu yangu inaniambia ni format but kila nikijalibu kuformat haitaki nikiweka kwenye computer inafunguka na kuonyesha mafail but nikiformat pia kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
EATV sasa ndani king'amuzi cha ZUKU.Chaneli namba 121
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu. nilikuwa nataka kufuta programu lakini computer isitambue tena hata kama nikitaka kuinstall tena hiyo program niliyoweka mwanzo. Asanteni nahitaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom