APR
12
Utaratibu Mpya wa Booster (WiFi na 4G) katika Galaxy S5
Baada ya kuitumia simu hii chini ya masaa 24 tunatoa hisia zetu za awali juu ya ufanisi wake, moja katika ongezeko jipya la...
Kama wewe unapenda sayansi na ni mmoja ya waathirika wa maendeleo na ukuaji wa teknolojia tuma maoni yako kupitia +255656188644
"kuwa Sehemu Ya Mabadiliko Makubwa Ya Sayansi/teknolojia"...
Habari zenu wana jf
Mwenye software hizi adobe photoshop, indesign na illustrator zote zikiwa cs7 au adobe office cs7
Ziwe burnt au original disks ani pm tufanye biashara
Baada ya msako wa muda mrefu wa ndege iliyopotea katika mazingira ya kutatanisha flight MH370, wiki kama mbili nyuma meli za China zilipata 'signal' yenye frequency ya 37.5KHz ambayo ni range...
hey hawa jamaa wa tigo wabunifu kweli na sasa hivi wamekuja na application iitwayo tigopesa itakayokusaidia kutuma pesa na kuhakiki na huduma nyingi .wish mtaiona
Wakuu nina tatizo la computer yangu desc top ya lenovo. Imeunganishwa na computer nyingine mbili kwa internet comunication .Ila zote zina tatizo la kuzima mara kwa mara na kuandika power serving...
Have you noticed your usually speedy Google Chrome browser slowing down, or even crashing on you? Unnecessary plugins, extensions, and even browsing data can slow your browser down to a crawl, or...
'Habari zenu wakuu................poleni na mishughuliko ya kutwa nzima ya kujenga taifa letu,kiukweli baada ya kusumbuka na kuhangaika juu ya hii tablet nnayotumia nikasema hapana nimeshindwa...
If you are regularly seeing the Whoa! Google Chrome has crashed message, there is likely a problem on your system. An occasional crash can happen, but regular crashes are probably caused by...
Wanab0di
Mimi nina kingamuzi cha Azam TV,huwa narek0di mpira sana hasa ligi ya VPL sasa nikichukua flash yangu kwenda kuangalia kwenye k0mputa lile file halifunguki!je f0rmat inay0tumika kwenye...
One of the most frustrating things in the world is getting up in the morning to see that your computer refuses to boot, or it keeps restart by itself. It was still working fine the night before...
Naomba kufahamishwa kama kuna mtandao wowote wa simu unaotoa unlimited internet kwa masaa fulani kwa sasa.Pia kama kuna njia mbadala naomba kujuzwa. kalibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.