Wakuu habari zenu...
Msaada tafadhari, nna iphone 4 ambayo ina-run iOS 7.0.4 inazingua sana, inaleta message: Temperature " iphone needs to cool down before you can use it. Nkii - restart inakua...
Habari zenu wanabodi.
Huawezi imejiLock screen baada ya kukosea "pattern" mara nyingi.
NB;
Email naikumbuka ila nilizima internet...
Msaada tafadhali...
Natanguliza shukrani.
Jana nimepata zawadi yangu mapema kabla ya muda uliotangazwa baada ya kuonekana mwamko ni mdogo...
Nashukuru uongozi wa JamiiForums kwa zawadi ya muda wa maongezi wenye thamani ya shilingi...
jamani leo asbuhi nimewapa simu vijana jiran zangu ambao waltaka kuangalia matokeo yao but kwa baht mbaya niliondoka kdogo na kuwaachia hyo simu bila kuwambia namna ya ku-unlock so toka wanikabdh...
ninajisomea tuitorial mbali mbali za ccna ila nahitaji kufanya practise hivyo ndugu mnao weza nisaodia hiyo softwere nitafurahi sana.
nawasilisha wakuu
Katika Pita pita zangu na kupekua nimekutana na hii kitu imenivutia sana na nimetest iko vizuri,kazi nzuri vijana tutafika tu;
Namna ya kupata matokeo katika simu ya mkononi bure bila kulipia...
Wadau msaada wenu,PC yyangu inazingua inataka nifanye activation huku ikidai product key na alinifanyia installation hakuweka izo key so mwenye nazo anaweza nisaidia au kama kuna alternative
​
Habarini
wataalamu nina tumia Ant virusi ya Microsoft Security Essential kwenye PC yangu lakini kuna mtu alichukua flash yangu karudishwa ikiwa na documents tatu format ya Word
nazo zimeandikwa...
Salaam wana TGSF.
Nahitaji ku'merge pics au ku'create picture collage.
Can I do it with 'Nokia ASHA 210 dual SIM' (s40)???
If 'Yes' how do I???
Natanguliza shukrani za dhati...
MoMo is back at KINU
Join us on Monday, 3rd March 2014 for Mobile Monday Dar event. This month we are going to look at possible sources of funding for Tanzanian start-ups. The discussion will...
Wakuu nataka kuhamisha contacts kutoka BB kwenda kwenye sim card. Nimehangaika sana sasa nimekuja mbele zenu mnisaidie. Kuna majina mengi. Nataka kutumia aina nyingine ya Simu.
Jaman naombeni msaada kunamtu nataka nijue yuko wapi simu yake inaita tu ila haipokelewi . noaomben msaada nawezaje kujua yuko wap kwa kutumia namba yake ya simu.
wataalamu naomba mnisadie jinsi ninavyoweza kufanya ip addres yangu isionekane online
nimefanya download na nimepata message inasema ninadownload illegal software na wana
uwezo wa kunipata via my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.