Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
simu yangu ni blackberry 9810 tatizo lake ni kuingiza moto wakati wa kuichaji unapochomeka chaji inaonyesha inaingiza moto lakini haijai na baadae inanyonya chaji iliokuwemo kwenye simu betri...
0 Reactions
1 Replies
713 Views
Jamani natanguliza polekubwa kwenu kwaajili ya mahangaiko yatoka asubuhi؛‎ ila naombakuuliza kama kuna whatsapp ya nokia 2730c; msaada wa kuu.
0 Reactions
1 Replies
742 Views
Wakuu Mwanzoni nili download app nyingi na ikawa inapiga mzigo fresh, but baada ya muda nikaanza kupata message kuwa nafasi hakuna so nimefuta application karibia zote na kubakiza app 3 tu ambazo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, kwa wale wanaopenda kuhifadhi documents zao kwenye 'clouds' yaani mtandaoni basi wanaweza kujiunga na OneDrive ambao wamebadilisha jina kutoka SkyDrive (ni kampuni ya Microsoft) -ukijiunga...
0 Reactions
0 Replies
643 Views
katika mambo ambayo star times mmetokea kuniboa ni pamoja na hili..kubadilishiwa decoder mpaka kulipia elfu sitini ...mimi nilikua mkaazi wa dodoma kwa sasa nimehamia musoma..nilinunua decoder ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Juzi nilikua nacheki cheki kule xda nikakuta kuna jamaa ametengeneza kakitu flani hivi, actually ilikua mod ya pattern lock ya simu ambayo ina interface nzuri sana. Sasa baada ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Samahani sana kama kuna mtu anayefaham bei ya simu mpya hizo hapo juu au kama kuna yeyote anauza mojawapo ya hizo hapo simu anifahamishe!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natumia blackberry 9810 naomba msaada namna ya ku download software google play maana kila nikijaribu nashindwa. Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jaman msaada kwa anaeijua huawei G510.. Vp kuhusu internet yake na ubora wa simu yenyewe
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa wale wanaojua naomba kujua ukitaka kudoload video kutoka you tube unatumia njia gani??
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Wakuu habar, naomba ushaur ni aina gani ya projecta ni nzur kwa kuoneshea mpira inayo weza kuonesha vizur hata mchana. Natanguliza shukran
0 Reactions
4 Replies
4K Views
KAMA WEWE NI MTUMIAJI WA ADOBE,PINACLE,AVID,VEGAS,AFTER EFFECT,PHOTOSHOP ,FINAL CUT,CINEMA4, NA SOFTWARE ZINGINE KAMA HIZO AMBAZO ZINADEAL NA VIDEO (MOVIE MAKING..BASI HAPA Toolfarm.com :: The...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenye nayo anipm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada wenu wakuu . 1$ ni sawa na Tsh ngapi?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
King'amuzi cha azam Tv kimekosa local chanel za ITV,EATV, NA STAR TV. TCRA na AZAM TV mnasemaje? Tunaomba local channel zote ziongezwe.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wakuu nina simu yangu aina ya be.united.. Ambayo ni smartphone.... Sasa tatizo limekuja baada ya mtu ambaye nilimpa simu kukosea kuingiza password ambazo nilikuwa nimeweka..(pattern password) na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wakubwa nimepata tatizo la sauti kwenye 'TV Tuner' ya Laptop aina ya Light Wave LW-UTV STIK, nimefuata maelezo yote ya Installation ya Drivers na Software yake kwenye Laptop lakini nikiConnect...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
wakuu jana nimenunua anti- virus ila baada ya ku install na ku update inaniambia kuna error na e scan anti virus monitor is not loaded. naombeni msaada jamani maana hii komputa imekuwa nzito sana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Najua unajua ila sio jambo baya kujua zaidi.Wengi tuna fb a/c ,tuna upload picha kila leo na kutag rafiki zetu.Je ulishawahi kufikiria kutumia account hiyo kama Photo Library kwa matumizi ya...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Hi wandugu, Nnataka kuhamisha majina kutoka lumia 620 kwenda android. Cha ajabu hakuna option ya ku export contacts kama nilivyozoea kwenye android. Nataka majina yahamie kwenye pc ili niweze...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom