Habar wakuu,
Naomba msaada wenu nataka kufunga CCTV camera 16 naomba maelekezo kampuni ya camera zipi Zina onyesha picha angavu mchana na usiku kati ya DAHUA,HIK VISSIOn.
Natakiwa ninunue nin...
Simu tajwa nikiichaji inaleta Alama ya pembe tatu rangi ya njano. Sijui tatizo nini? Kuna vitu vyangu kibao nataka kuhamisha msaada wajuzi. Na chaji haingizi.
Wapenzi na wadau wa Samsung.
Jana usiku Wakorea walitoa vitu vyao vutatu vya mwaka 2025, Samsung Galaxy S25, S25+ na S25 Ultra.
Ya kuongea ni machache kwasababu ni upgrade ndogo kutoka S24...
Wakati wengi wanakubali kuwa Akili Mnemba (AI) ina uwezo wa kuleta mapinduzi ya viwanda na kuboresha maisha, kuna wasiwasi unaoongezeka juu ya athari za kimaadili na usalama wa maendeleo yake ya...
Kwema wakuu??Ni ipi online application nzuri naweza pata kusikiliza Radio za hapa nyumbani??Maana npo naishi bondeni huku hata Radio hazishiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu, nina simu yangu samsung A13 nimeanza michezo wa kufuta majina niliyoyapost jana na miezi 6 iliyopita.
Naombeni msaada wenu tafadhali I kwa anayejua msaada please
Asanteni
๐ ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ผ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ต๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ๐๐ผ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ฑ
Kama mpenzi wa masuala ya Anga basi mwaka huu 2025 kutakua na matukio mengi ya kushangaza ambayo utaweza kuyaona live kwa macho yako.
Haya ni...
Google pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a
Kuuza ni ngumu
Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma...
Naomba mnielewe hapa sizungumzii Samsung flagships kama s24, s24 ultra no. Mostly "A" series.
Zifuatazo ni sababu kwanini siwezi kutumia samsung mid rangers.
1. Design mbovu: hawa jamaa ubunifu...
Nimeona watu wengi wanalalamika juu ya simu used from Dubai hususan Google Pixel na Aquos kupata moto
Zimekua na tabia ya kupata moto hovyo sana, yaani inapata moto kidogo tu mpaka inagoma...
๐๐๐๐ 4 ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ฟ๐๐๐ ๐๐ผ ๐๐๐๐๐๐๐ผ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ฟ๐ผ ๐๐ผ๐๐ ๐๐๐๐๐ฟ๐ผ ๐๐๐๐ 6, ๐๐๐๐๐๐๐พ๐๐๐๐๐ผ ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ ๐๐๐๐๐ผ ๐๐ผ๐๐ผ
Muhimu; Kama una changamoto za kiuchumi ni vyema ukasome form 6 kwenye shule ya serikali...
๐ ๐ฎ๐๐๐ธ๐ถ๐ผ ๐บ๐ฎ๐ธ๐๐ฏ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ป๐ด๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐ผ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ฎ ๐ธ๐ฎ๐ฏ๐น๐ฎ ๐๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ฎ๐ฌ๐ฐ๐ฌ ๐ฆ๐ถ๐ผ ๐บ๐ฐ๐ต๐ฒ๐๐ผ
Kabla hatujafikia mwaka 2040 kuna miaka 15 ndani yake kutatokea matukio ya Aiabu kwenye Sayari yetu ambayo mengi ni ya...
Habar wana I.T nawezaje kupata simuliz za ruhundwa zlzokamilika bla kutumia app yake iliyopo playstor,maana app ile kwang inagoma kunisajil,msaada wenu jaman kwa anaefahamu
Nimekuja kwenu wadau natafuta msaada Kuna shida imetokea wakati najaribu kuverify account kama vile wanavyotak nimejaribu kwa kitambulisho cha taifa nida, leseni, bank statement naona wanakataa...