ni kawaida ya hapa jamiiforums kupeana updates ya vifurushi kila baada ya muda fulani. leo nimewakusanyia vifurush vya mitandao yote minne tanzania na kuepusha post isiwe ndefu sana nimechagua...
Tangu kuanza kuchanganya kwa maendeleo ya Teknolojia Tanzania, tumeona makampuni mengi yakizaliwa siku hadi siku, kila moja likiwa na lundo la huduma wanazotoa kwa wateja wao. Iwe kwa yale ya...
Natumaini wote ni wazima wa afya.
Naomba msaada katika hili. Nataka kununua smartphone hasa inayotumia OS ya android. Bajeti yangu ni 200,000 mpaka 250,000. Ni simu gani naweza kupata yenye uwezo...
Habari wakuu,
Nafahamu fika jamvi lina watu na ujuzi mbalimbali.Ninaomba msaada kwa yeyote anaejua website zipi naweza kupata access ya ku download miziki tofauti tofauti freely.
1. The HSTs history is longer than you might have thought, going back to just after World War II. In 1946, the astronomer Lyman Spitzer identified the main advantages that a space-based...
Habari zenu wana JF, naomba mnijuze jinsi ninavyoweza tambua hizi Iphone ambazo ni original kwani nimekuwa nakutana nazo watu wanaziuza mikononi kwa bei ambayo haifanani na thamani ya simu hiyo...
Hello tena.
Nina tatizo la meseji kutoenda katika simu, mtandao wa Vodacom.
Nikitumia Nokia Tochi (feature phone), zinakubali pale tu nikitumia message kisha nika click option then reply...
Wapendwa labda nianze tu kwa kusema nilinunua lumia baada ya kuwa na hamu nayo kutokana na matangazo,lkn naikumbukA symbian yangu ya zaman kwani kwenye search nilikuwa na uwezo wa kutafuta jina na...
Jumapili ya iliyopita nilipata ajali gari langu liligongwa kwa nyuma likabonyea na bamba likapinda, bahati nzuri halikupasuka kioo wala taa.
Siku hiyo hiyo nililipeleka kwa fundi alinyooshe...
wadau mi ni mmoja wa internet addicted. mara nyingi sana nimekuwa nikijihami kwa kuinstall strong antivirus. hiyo ni kwenye laptop ila sasa hivi nimenunua ka samsung galaxy . je na kenyewe...
Habari zenu wanajamvi? Mimi ninaomba kufahamu kuhusu Windows 8. Nina Dell Optiplex GX 520 ambayo in Specifications zifuatazo:-
Processor: Core 2 Duo 2.1 GHz,
RAM: 2GB
HDD: ina ukubwa wa kutosha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.