Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
habari,naomba msaada laptop yngu inatatizo,kama ikiwaka huwa haicharge kabisa lkn ukiifunga inacharge freshi kabisa nakama ikiwa full charge piya inawaka freshi haisumbui.je tatizo nini???
0 Reactions
3 Replies
813 Views
Ndugu zangu wanajamvi...Salaam!!! Kwa yeyote anayejua mahali/duka zinapoptikana na bei ya kompyuta mpakato za watoto naomba anijuze.. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The most saught after particle in modern physics, the 'God particle' has been comfirmed. here is the link: DISCOVERY OF THE GOD PARTICLE - HOW SCIENCE
0 Reactions
6 Replies
929 Views
Kwa nn ni vigumu kubadilisha screen za simu kutoka kampuni moja kwenda ingine ikiwa ukubwa ni sawa? Mfano watu wanalalamika eti sreen ya simu A si nzuri ni glass ngumu tu wakati kuna screen za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nahitaji msaada juu ya account yangu ya facebook mwanzo nilikuwa natumia poa nilikuwa nimejisajili kwa namba ya simu sikuwa na email na kwa bahati mbaya ile namba ya simu isha fungwa na...
0 Reactions
1 Replies
22K Views
Wakuuuu, Mtwa Mkulu Nauza Mlango Bomba Sana Wa CD Ni Kwa Bei Ndogo Ya 55000, Utaletewa Popote Dsm 0652967265
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau HP dv6000 inasumbua sana wakati wa kuwaka inakua kama inataka kuwaka halafu inajizima tena. Wakuu naombeni msaada nini tatizo maana ikitokea imewaka nikaizima tuu matatizo hayo yanajirudia tena
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, ni muda mrefu nilikuwa na dream ya kununua digital camera. nimeweza kusave kiasi cha shs laki 2.5 mpaka sasa.. naomba kujuzwa digital camera nzuri za kununua.. zisiwe second...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Namna ya kutengeneza website ni mtihani kwangu. Kwa anayejua naomba anielekeze. Karibuni waelekezaji....
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tafadhalini Msaada wa hili tatizo,ninapojaribu kuupdate whatsapp na fb inatokea insuffient storage available. nini tatizo?
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Shortcut viruses zinakera sana kwa kweli, unakuta mtu una mafaili yako unamwazima mtu flash au external yako af unakuta mafaili yote yamekua shortcut hayafunguki yameliwa. kwaio wakuu ngoja kidogo...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Mambo vp wakuu,, naomba msaada kwa hili tatizo. now days nikiweka flash kweny laptop vitu vyote vya kwenye flash vinakua shortcut,,,, hii kitu inaniboa sna... ss cjui km ni virus ama nn,, n sijui...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
WADAU MSAADA LG HT356SD DVD HOME THEATER MUSIC SYSTEM INAANDIKA protection kwenye window halafu mziki hautoki kuna fundi au anayejua nilinunua nikapewa warrant ya miaka 2 warrant imeisha nifanyaje
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Asalaaaaam Aleykuum waungwana. Msaada tafadhali wadau, natumia mtandao wa tigo na nimefanya setup ya internet lakini nimebulia 2g kila ninapojaribu ku-setup. Naomba msaada wenu waungwana!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba msaada jinsi ya kusolve error 3194 katika itune napokuwa na update my iphone inaleta zat msg, natumia iphone 4 imekuwa jail breaken
0 Reactions
0 Replies
653 Views
guys katika pitapita nimekutana na nahii website ya kuangalia muv online kwa wenye bundle za kutosha,disable adds kwanza... Watch Movies Online for Free - Viooz
0 Reactions
11 Replies
3K Views
salaam wanajamii wote,ninauza wii ipo copmlete na vifaa vyake vyote kwenye box yake kamili pamoja na 3 games zake.(ebrahimimtiaz@gmail.com) this is my email
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Salaam kwa wanajamii wote,ninawaombeni msaada kwenu,kama kuna mtu anajua jinsi ya kuweka Android KITKAT kwenye samsung s3.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
wapendwa yeyote anayeweza kupata dash board ya corona T170 ambayo bado iko kwenye hali nzuri au mpya ninahitaji, no. 0769841918
0 Reactions
8 Replies
1K Views
habar wanajf natafuta rcv ya mpeg 4 bei iwe inaanzia 100,000 kwenda mbele nayeneuwezo WA kupatch biss key
0 Reactions
3 Replies
805 Views
Back
Top Bottom