Want to hear some cool stats behind GNS3?
GNS3 was created as a university project
The software has been downloaded nearly 10,000,000 times
Over 75% of our users are training for Professional or...
Camera yangu aina ya SONY leo imeniharikia.
Inawaka na kuzima kama vile betri imekufa na hii imesababisha lens imestuck haimove in-out kama ilivyokuwa mwanzo.
Tafadhali kama kuna kuna mtu...
wakuu, nahtaji kusave charge kwenye simu yangu, kwa kudisconnect internet package, tatizo ni kwamba inajiconnect automatically after 5 second. Msaada katika hili.
heshima kwenu wanajamvi natumia simu ya lg p970 ila changamoto kubwa niliyokutana na simu hii ni kutokubali kuonyesha salio(*102#), pamoja na menu za tigo pesa, airtel money, m pesa, nmb mobile...
Natafuta printer yenye uwezo wa kuprint kwenye DVD/CD na DVD duplicator mashine . Kwa anayejua naweza pata wapi kwa bei nafuu au mwenye navyo hata kama vimetumika kidogo ila bei iwe nzuri...
Habari wana JF,mim nina nokia E7-00 inanisumbua charge coz kila charge ninayotest inasema your usb cable unsupported hata kwenye computer haitaki...so najitokeza kwenu kupata ufafanuz....1...
1. The Morris worm
In 1998 Robert Morris, a university student, unleashed a worm which affected 10 per cent of all the computers connected to the internet (at the time the net was estimated to...
Jinsi ya kutuma files kutoka kwenye PC kwenda kwenye iPhone, files kama vitabu, slides nk.... Kila nikijaribu kutuma kawaida km kwenye simu nyingine inakataa!! Je, na kufanya hivi pia kunahitaji...
Habari wana JF, naomba msaada kutoka kwa yeyote anaejua, ni Receivers gani za FTA (free to air) ni imara na zinafungua chanel nyingi ili ninunue maana naanza kujiandaa na December 31.
Naomba kwa...
Wadau naomba msaada simu yangu tajwa hapo juu inajizima na kwaka dakika chache baada ya kuanza kutumia internet. Hilo tatizo limeanza jana haikua hivyo mwanza.Naomba msaada kufix tatizo hilo.
Whois 2.7.2
Description
File Size: 480 KB Last update: 5/30/11
Whois Tool is a client utility that communicates with WHOIS servers located around the world to obtain domain...
offer offer offer offer offer offer
kama unatumia tunnelguru jipatie akaunti ambayo iko loaded 30days unlimited kwa siku 30 kwa shiling 6000/=tu .cheki 0688148836 ofa hii ni kuanzia 14/11 had 18/11
Wadau ninatumia Windows 8 kwenye HP ENVY dv4 Core i5 lakini mafaili hayo niliyoyataja yanazidi kuongezeka ukubwa hivyo kula nafasi kwenye drive C. Hiberfil.sys limefika 6GB na pagefile.sys...
Wadau ninatumia Windows 8 kwenye HP ENVY dv4 Core i5 lakini mafaili hayo niliyoyataja yanazidi kuongezeka ukubwa hivyo kula nafasi kwenye drive C. Hiberfil.sys limefika 6GB na pagefile.sys...
Baada ya usumbufu wa muda mrefu wa kuipata tbc1,sasa ipo live bila chenga.unachotakiwa kufanya ni kuingiza frequeny 3892-v-3072.huna haja ya kuuchekecha ungo wako kama unazinasa chanel zingine...
Week 2 zilizopita nilihamia Airtel for 2 reasons
1. Hakatwi mtu hapa
2. 3.75G internet speed
Tangu nianze kutumia internet ninachokipata is simply a disappointment. Unaweza download 10mb za...
INFORMATION SECURITY TRAINING
Prepared and Provided by Twiga Hosting Ltd: The information security training provider in Tanzania.
Do you know how you can identify the information you...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.