jaman nashindwa kuunganisha net nimeenda had ofisi za makampun ya cm hapa MORO tatizo limeshindikana,nilijalibu kuhamisha vtu toka kwenye pc vinaingia kama file mfano miziki,inaonesha free space...
Kuna chanel 14 zimeongezeka ghaflq kwenye kisimbusi cha continental sijui zimepotea njia au ndio wanaanza kuziongeza manake ni nzuri kiasi chake kwa movie ila hazina majina naona wanazungumza...
Niliingia cafe kudownloal issue flani kuiweka tu kwenye computer kwanza kuingia ikagoma then imeanza ku-gandaganda mpaka kero. Natumia antivirus ya SMADAV naona yaani ahisaidii kabisa kila...
Habari wana jamvi,...ningependa kujuzwa ni ving'amuzi gani ambavyo kwenye chanel zake naweza pata angalia Emanuel Tv(TB-Joshua) na baadhi ya Stesheni nyingine za Dini?.
Siku hizi, katika kila watu kumi wanaotumia mtandao, basi angalau watano kati ya hao wanatumia mitandao jamii. Kuna baadhi ya watu wamegeuza mitandao hii kuwa kama ni sehemu ya mawasiliano, ama ya...
Sony has put up an official video on its PlayStation channel on YouTube, unboxing the PlayStation 4 and showing the world what theyll get in the box once it hits the shelves come this Friday...
Hellow, wataalam nawezaje kupiga picha za bidhaa mbalimbali ili iwe rahisi kutoa background kwa photoshop. Kuna kamera ambazo unaweza ku dims background na kutoa only picha ya mbele? Mfano wa...
Wadau habari zenu,kwa mtu aliye na activation codes za kaspersky antivirus 2013 naomba anitumie ili niweze ku activate kwenye pc.natanguliza shukrani wakuu
WanaJAMII nataka kununua TV sasa kuna mtu ameniambia ninunue SAMSUNG SERIES 5, 6 au 7 imeundwa na king`amuzi ndani yake (built in decorder). Sasa ile sehemu ya kuingiza SMARTCARD ile ADAPTOR...
Ndugu jamaa na marafiki habari za siku? Nadhani ni muda mrefu tokea nilipoandika uzi humu JF.Siku ya leo napenda nitoe somo kuhusu utumiaji wa software 3 ndogo, ambazo machoni mwa watu huoneka...
nataka nibadilishe hard drive inabidi ni-install windows xp lakini computer inagoma ku-boot from CD ROM na nilishabadilisha kwenye boot menu kutoka HDD ili i boot from CD ROM lakini bado inagoma...
Ni samsung galaxy s advance gt i9070.
Inagoma kudownload application yoyote kwenye Google play. Internet iko sawa tu kwani natumia 3g. Na inabrowse vizuri tu. Tatizo lilianza juzi. Kwa kugoma...
Habari, ninatumia Nokia E75, kabla cjaiflash email zilikua zinaingia bla tatizo kama message za kawaida, ila baada ya kuiflash ni mpaka nisign in, then ni refresh ndo zinaingia. Ni usumbufu...
msaada wadau,nimepiga picha kwa kutumia camera ya simu aina ya Blackberry curve 9380,baadhi zimegoma kufunguka wakati siku chache zilizopita zilikuwa zinafunguka.
Nawezaje kuzi recover?
Ndugu watalaam salam,
Nimenunua laptop mpya HP 650,OS yake ni UBUNTU,Nimejaribu kuweka window 7 hisomi CD ila inazunguka tu kisha inafungua UBUNTU -Na nime set I Boot kutoka katika CD ila wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.