Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wana jukwaa naombeni kujua bei ya samsung s3 kwani nimevutiwa sana na simu hii
0 Reactions
2 Replies
728 Views
10. Tianhe 1A Speed 2.566 petaflop/s . Created 2010. Location :China 9. Super MUC Speed 2.893. Petaflops/s. Created 2012. Location:Germany 8. Vulcan Speed 4.293 Petaflops/s. Created 2013...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamanan Kwa Jinsi ilivyo sasa hivi, #simu Zitatengenezwa weee, Lakin Hamna Kipya Zaidi Ya #Touch-screen zaid zaid ni Differential In Internal features; >mana 2metoka Kwenye #Pressing-button...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Je waungwana kuna njia mbadala ya ku-unlock samsung s5300(android) imeji-lock baada ya kuingizwa alama za siri za uongo mara nyingi? Simu inataka email na password ya Gmail ili ifinguke ila...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni modem mpya toka voda,Huawei E303!!pliiiiiiiiiiiiz wadau:bange:
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mambo vipi? wataalam nisaidieni mwenzenu! kama kuna anayejua namna ya kutoonekana online kupitia whatsapp..yani hata nikiwa nachat .lets say nimeingia online saa 8am,ionekane hiyo hiyo kutwa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wakuu, Nilikuwa na website yangu,nime host kenya. Sasa nilitaka kujua na mna ya ku iweka kwenye major search engines kama google nk. Na pia ushauri mwingine wowote wa kuifanya iwe more visible.
0 Reactions
0 Replies
655 Views
wakuu ni bandiko tena la pili hili naomba kwa ambae anauza minilaptop ama kunisaidia kuipata anitafute kwa hii 0778887388
0 Reactions
2 Replies
723 Views
MSAADA KUINSTALL CUSTOM ROM nimeroot simu yangu ila nmeshindwa kuinstall Custom ROM. Nmetumia ROM manager ila simu yangu haimo kwny list ya device supported. natumia GALAXY ACE GT-S5830i
0 Reactions
3 Replies
941 Views
Salamu wadau.. naombeni mnisaidie kulitatua ili tatizo. Mi natumia Android phone version 2.3.6 kuaccess JF lakini sijadownload JF app. so natumia "touch site " sasa naface matatizo yafutayo : 1...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Betri ya acer mini Laptop naweza pata wapi ndugu zangu?Na bei yake ikoje maana kakwangu kamezingua betri bana.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nahitaji kuipendezesha na mimi blog yangu kwa kuweka picha tofauti kama kivutio kwa watembeleaji na kuweka habari pamoja na picha yake unaweza kuniambia mkuu nifanyeje plz nahitaji kupata ushauri...
0 Reactions
0 Replies
621 Views
Hello friends, wataalam naombeni msaada wa kuifanya simu ya blackberry curve iweze kutumika kama wireless provider. Much thanx!
1 Reactions
11 Replies
1K Views
https://www.voniz.com/varticles/5-amazing-highlights-of-android-44-kitkat
0 Reactions
0 Replies
618 Views
Salamu Wataalamu. Ninatumia W7 na Browser ya Mozilla Fox. Kwa miezi zaidi ya Sita iliyopita nilikuwa natumia Program ya Video Download Converter kupakuwa Vido kutoka Youtube na kuzihifadhi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Anyone selling his used stuff?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu eeeeh,ka-tecno p3 kangu whassup messenger yake inagoma kuwa updated,nikidownload hilo file la update likishamalizika linagoma kuwa installed na kiniletea ujumbe wa hyo title yng wakati kuna...
0 Reactions
2 Replies
796 Views
Habarin za kwenu wana jamvi!! naomba kujuzwa kama kuna uwezekano wa kubadilisha VHS kuwa VCD, na kama inawezekana ni wapi hapa dar naweza nikapata hiyo huduma ...........
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ukweli ni kwamba Mpaka sasa hamna #Whatsapp inayo Run katika N73 japokuwa N-series nyngne zna Run whatsapp, siwez nikasema zina support mana hata N73 ina support ila hawa wa2 hawajaamua 2...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Chuo kikuu cha Buffalo nchini Marekani,kimefanya majaribio ya WiFi chini ya maji. Inawezekana? WiFi inapatikana chini ya bahari Erie. Chuo kikuu cha Buffalo nchini Marekani,kilifanya majaribio...
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Back
Top Bottom