Salaam wakuu,
Naomba msaada wa sim unlock code ya hii kitu. IMEI: 862076012032055
Au mwenye kufahamu software tofauti na DC inayoweza kufungua hii simu.
Heshima mbele wakuu.
Wadau wenye phone za android vp kuhusu hii software je result zake ni credible??? phone yangu ni s3 lakini baada ya kufanya benchmark na other devices imekua ranked so low hata imezidiwa na device...
Jamani naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi ya mwisho.. katika facebook nimekutana na mwanamke wa kizungu yeye anafanya kuuza vifaa vya electronics, nataka kununua macbook pro kwa sh. USD...
Kuna hii website wana kila aina ya ala ya mziki ambayo unaweza ukaplay live kwenye pc yako na hata pia kurecord ulichokigonga kwenye ala husika. Pia hata kwa wasioplay vile vile in leisure time...
Leo naenda kununua kingamuzi~huku iringa hakuna star times digtek wala continental kwa hiyo nataka.ninunue Mediacom.je nitaona TBC star TV ITV eatv na channel ten?
Wakubwa nilinunua samsung galaxy s2 used , sasa ikajilock nilimpelekea fundi anisaidie kuifungua akasema ataiflash.
Baada ya kumwachia hiyo simu , kaipoteza na badala yake kanilipa Samsung galaxy...
habari zenu wana jukwaa, I hope you are all well! computer yangu ni aina ya hp 650, leo hii imepatwa na tatizo ambalo nimeshindwa kulielewa kabisa ndugu zangu! kila ninapotaka kuizima baada ya...
Ni miezi kama 8 sasa nchini tanzania tumejipatia njia mbadala ya huduma ya internet.haijalishi ulianza kupata huduma hii kwa shiling ngapi kwa mwezi.ila sasa utaweza kuipata huduma hii...
Pole na hongereni kwa majukumu,
Naombeni msaada katika iPad two, kuna mfumo wa outomatic words correction, ni tatizo kutokana na maneno mengi ya kiswahili kutolingana na lugha iliyosetiwa...
Wana JF leo tumerelease version ya kwanza ya social networking yetu inayoitwa FRITYM ambayo imetengenezwa na sisi vijana wa kitanzania,tumetengeneza FRITYM kurahisisha usambazaji wa taarifa...
Habari,
naomba msaada wa kuondoa frame kwenye kazi iliyochapwa kwenye word 2007;
nimeweza but kuna vistali vya blue (broken lines) ambavyo vinatokea na kuwa kikwazo naomba msaada wa kuviondoa...
Kaeni chonjo wakuu hii ishakuwa noma Microsoft Security Advisory (2896666): Vulnerability in Microsoft Graphics Component Could Allow Remote Code Execution
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.