nmeletewa pc mpya kutoka uk haiingiz chaj kwa betrii ake ilokuja nayo na nkiweka betrii nyngine inaingiza chaj pc n aina ya 'acer aspire', nmejarbu pia kubadlsha chaja cjafanikiwa na nmeinstall...
Wakuu nmecheki bei za toyota passo kwenye mtandao naona ni nzuri tu yan gar cc 998 na 1000 unapata kwa bei poa FOB 849-1200
sasa ushauri wenu unahitajika maana nilitaka kuchukua IST ila nimegairi...
Niliweka ujumbe mm binafsi kutaka kununua mini laptop nashkuru wapo walionitafuta kwa hilo , ila pia wapo walionishauri nisinunue minilaptop na pia nmeona ujumbe wa user mwengine pia alipata...
Ndugu habar,ninaomba msaada wenu kuhusu hili,nina dish la zuku ambapo juzi mafundi walikuja wakaezua paa hvyo kulitoa dish kutoka lilipokuwepo awali ,jana nikaamua kulirudsha ili niweze kuendelea...
HABARI,
Nilijaribu ku uprade iOS 4.1 to 4.2 ya iphone 3G lakini iligoma njiani,baada ya hapo imekaa kwenye recovery mode(kwa screen inaonyesha connect to itunes) nimejaribu ku i restore pia...
Wakuu habari za saa hizi....soon nataka kununua toyota bravis naomba kujuzwa kwa anaeijua kuhusu ulaji wa mafuta, spea, matengenezo na injini...nawasilisha.
Msaada wa Product key ya MS Office 10. Unajua kiuchumi hatufanani ila kimahitaji tunaweza kufanana. Ukiamua kusaidia saidia tu. Hapa hata hivyo, tunaogopa zile product key za magumashi/ isiwe ya...
Problems
The GAO report came up with a list of mobile vulnerabilities it says are common to all mobile platforms and it offered a number of possible fixes for the weaknesses.
From the report...
Ee bwana habarini za asubuhi wana JF. Poleni kwa uchovu wa weekend.
Mie Karucee bwana niliangusha Camera yangu aina ya Samsung Lens ikiwa open. Hapo hapo ika rest in pieces.
Naomba kama kuna...
Nilikuwa napitiapitia data za SQL Server nikakuta kuna vitu viwili Release Name na Codename Microsoft SQL Server - Wikipedia, the free encyclopedia
Kumbe hii version 10.5 codename yake ni...
KIUKWELI NINA SHIDA YA iyo prog.. bt cjui ntaipataje kwa urahisi na atakae nsaidia bas na mm ntampa sayansi yang kuhusiana na net na hakika wote tutanufaika:madgrin::becky::becky::becky:
Natumia tishiba satelite c 850
Cpu:2.46ghz
Ram:2gb
Hdd:500gb
3i core.
Lakin mlango wake n tatizo kwan nikiburn cd inatoka tupu.
Nukiburn dvd inaburn alaf naweza edit pia japo cd hiyo unakuta sio...
Hallo,
Nlikuwa nkitumia ESET NOD32 hapo kabla, jamaa aliyekuwa akiniuzia Licence akaja akasafiri. Kwa sasa nnatumia Microsoft security Essential. Lakini naona inaelemewa kwani nnafanya sana...
Mimi sielewi kabisaa, tutalaumu nani sasa. Wakati mataifa zingine zinasonga mbele kiteknolojia, sisi twalala tu. I have nevet heard of a single invention from Africa. If any, just follow it up and...
Naomba kwa anayejua setting za intanet kwa aina hiyo ya simu, maana net kuna muda inapatikana vizuri, kuna muda inapotea kabisa. Msaada kwa anaejua kuunganisha kwa mtandao wa voda
Cm yangu htc A8181
Imefungu accont ya Gmail
Lkn cha ajabu haijajitengeneza
Play store.ipo ile ile martket km
Haijafunguliwa account
Plz naomba msada juu ya hili
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.