Wataalamu wa Android naombeni msaada simu yangu samsung s3 kuna baadhi ya applications hazifunguki huu mwezi sasa. Haifungui Jamii forums, na mimi nisipoingia jf siku moja tu napata homa. Hata...
i have my original copy of window 7 in a flash (bootable enabled) means nimeshaa tengeneza bootable kwenye hii flash and is ready so NINA PC MPYA KABISA HAIJAWAHI KUWEKWA WINDOW YOYOTE (samsung...
Ndugu wana jamvi la jamii forum, huu mtandao wa voda nakua namashaka nao jinsi siku zinavyosogea, walianzia CHEKA BOMBASTICK YA 900 kwa dk 60, wakatoa wakaweka cheka ya dk 25, sasa hv sh 500...
IJUE GRAPHENE KWA UFUPI SANA NA LUGHA RAHISI,
Hiyo ndiyo graphene, material nyembamba kuliko zote duniani (mara milioni kuliko karatasi nyembamba) hadi kufikia kuitwa a two dimensional object...
Wadau wa jukwaa hili msaada nilifuta whatsapp kwa bahati mbaya sasa baada ya kupakua tena ndani ya play store imegoma kufunguka inaishia kutoa ujumbe kama hivi initializing wait a moment sasa hiyo...
Computer yangu "DeskTop" sasa wiki ya pili kila nikiwasha wakati inafanya POST kabla ya kufika sehemu ya ku-run applications inanitaka nichague either i-run kwa Safe Mode, Normal n.k. Siku za...
wakuu anayeweza kunisaidi kuichakachua ps3 tafadhali ikawa inaweza kusave game ndani kwa ndani tafadhali naomba msaada wake na. Yangu ya simu ni 0714061310.nipo tayari kulipia gharama,system...
I clearly remember how I first tried to hack a system. My own laptop. Back then I was running on windows XP. After going through a few tutorials on introduction to hacking, I was able to crack...
Wakuu, naomba msaada.
Niko hapa kwa muda napiga jalamba.
Ninawezaje kuwasiliana na familia yangu, ndugu na jamaa wa Tanzania kwa bei rahisi?
Cheap call cards? au???
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.