Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nimejaribu kupitia jinsi ya kutumia keyword for lakin sijaielewa! Naombeni mnisaidie hiyo keyword for inatumika vipi na kwenye hiyo program ya kucheck prime number imetumikaje! Msaada wenu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
msaada jamani namna ya ku download whats app kwenye samsung 5270
0 Reactions
0 Replies
792 Views
TANZANIA ni moja ya nchi zilizojaliwa kuwa na rasilimali nyingi zinazopatikana katika maeneo mbalimbali, rasilimali hizo ni pamoja na madini ya aina mbalimbali kama vile almasi, dhahabu...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Wakuu heshima kwenu..! Ninaomba msaada jinsi ya ku update au kuongeza channel kupitia receiver ya dish ( sijui wenyewe mwaita dish setallite ama ungo) kwa sasa inaonyesha channel 10 tu, local...
0 Reactions
0 Replies
766 Views
za mida hii wakuu samahanini jamani nlikua naomba mwenye driver za hp simple pass identity protection kwa ajili ya kulog in kwa kutumia finger print kwenye hp pro book 4340s anisaidie.
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Wadau wa jukwaa hili naomba maelekezo jinsi ya Ku upgrade hiyo simu kutoka 2.3.1 Android kwenda 4.04 na kuendelea kwenye Android. Natanguliza Shukrani!
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Habari...! ndugu wanajukwaa hili nina tatizo kwenye simu yangu aina ya nokia lumia 510, tatizo lenyewe ni kwamba huwa nashindwa kutumia huduma kama vile m pesa au tigo pesa,kujiung vifurushi vya...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Sign up for Copy and get 20 GB free online storage, follow the link below to sign up and download the desktop software https://next-d.copy.com?r=wWAMtC
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu... Nimetafuta sana housing ya LG-C710h katika maduka mbalimbali sijafanikiwa kuipata,kwa anayefahamu sehemu ninapoweza kuipata/anayeuza tafadhali naomba anisaidie.
0 Reactions
0 Replies
747 Views
.View gallery Samsung unveils colorful new Galaxy J smartphone Nokia...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Naombeni msaada kuondoa tatizo hili kwenye simu yangu ukiweka line unaweza kuuliza salio lakini huwezi kupiga wala kupigiwa mwenye ujuzi wa hili anisaidie
0 Reactions
5 Replies
941 Views
niliwah kuset kuwa kila saa sita iwe inaskan applications zote ila kwa sasa nimechemka jinsi ya kuset msaada plz! natumia htc-android!
0 Reactions
0 Replies
612 Views
The removal of a search privacy setting will prevent Facebook users from controlling who is able to search them on the site. Facebook is getting rid of a privacy feature that let users limit who...
0 Reactions
1 Replies
751 Views
Wadau,naomba mnijuze jinsi ya kusevu majina(contacts)ya simu ili hata kama laini ikipotea iwe rahisi kudownload contacts kwa urahisi.Asante.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimenunua pc nimeikuta na window 7 home primium sasa mm inanizingua vitu vingi vinagoma kmvl games kisa no directx na video memory ndogo, sijui video card na driver zake zinazingua afu hakuna...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Msaada namna ya ku update... Tatizo linanikera sana ndugu zangu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
:help: msaada wenu wadau juu ya vitu gani vya kufanya au kupata ili uweze kusikiliza redio na kuangalia tv on line....:help:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za kazi ndugu zangu.Nina Nokia Asha 300 lakini tatizo lake ni kwamba touch screen is not responding na nashindwa kuswipe ili niunlock.Hivyo nashindwa kuitumia simu. Naomba msaada kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
OCT 10 Samsung Galaxy Round Inavyofanana na Note 3 Leo Samsung wanaingiza madukani simu yao ya kwanza ya skrini iliyopinda kwa mtindo wa mbonyeo kutoka upande mmoja kwenda mwengine, ingawa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wana JF heshima yenu. Nina simu yangu aina ya nokia asha 202 sina hata mwaka tangu nimeinunua,nimekuwa nikii-update mara kadhaa na kudownload applications kadhaa na kutumia mfano browsers...
0 Reactions
3 Replies
938 Views
Back
Top Bottom