Wana jf
Nilikua naomba msaada wa kuangalia youtube click ktk blackberry yangu kwani natumia bb internet package ya airtel na nadhani wamezuia nisione. Au ni kwa wote hawaoni?
Nimenunua ipod ambayo ninashindwa kuitumia kwa wireless internet.
Ninaomba wadau mnisaidie jinsi ya. kuitumia coz nimebaki kuwekea mziki na picha tu.
Ipod ya Apple.
Natanguliza shukrani
Ni...
Kama una Tatizo Lolote Kuhusu iDevices (iPhone, iPad & iPod Touch) Kama UNLOCK, JAILBREAKING & any APP installation Free & Paid ... Niulize nitakujibu BUREEE.
JUST CALL ME AN iDEVICES GURU...
By Adrian Covert @CNNMoneyTech October 8, 2013: 4:23 AM ET
NEW YORK (CNNMoney)
The Moto X isn't going to change your life. But a few extra features make the Moto X the best Android smartphone...
Samsung wanajiandaa kutoa simu mpya itakayoitwa Galaxy S5.
Hivi ndivyo wanavyokuja:
Processor yenye nguvu, na Ram ya kutosha.
Camera mp 16, yenye technology ya ku stabilize image.
Body lake...
Wanabodi, nikiwa mdau wa masuala ya TEHAMA (ICT), tarehe 3/10/2013 Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia imeanzisha TUME YA TEHAMA ili kuratibu shughuli za TEHAMA hapa...
wadau,nasikia ujazaji usio sahihi wa upepo katika tairi za magari huchangia gari kula sana mafuta,hivi mahusiano hayo huwa yakoje?pia,ujazaji sahihi huwa ni upi na kwa kipimo gani?maana kwa hawa...
Mozilla has announced it will soon start
launching Firefox OS-based devices in new
markets around the world.
Mozilla launched the first Firefox OS
smartphones the ZTE Open and Alcatel
One...
heshima kwenu wadau wa jukwaa hili, laptop yangu aina ya acer windows 7 hai-boot ukiiwasha inatokea black screen na maneno press f2 uki press f2 haifanyi chochote badala yake ina restart yenyewe...
Habari.
Wazee nineletewa simu tajwa hapo juu, inatatizo.
Hii simu ukiichomeka katika charge iwe USB katika PC au katika AC (socket) Touch screen yake inapunguza sensivity ya kurespond.
Kusema...
Waungwana nimepata tatizo hili ghafla katika simu yangu, Proximity sensor na front camera vimeacha kufanya kazi ghafla, niklaunch front camera inasema "Camera Failed". Nikipiga simu sensor haifany...
Cardless ATMs allow you to get cash with your phoneBy Blake Ellis @blakeellis3 October 9, 2013: 7:37 AM ET
Just like using a "remote control for the ATM," you will soon be able to log onto a...
Magwiji wa technohama tafadhalini tunafanyaje kuipata iyo kitu tajwa hapo juu.......nimeskia izo updates zipo tayari sasa kwa karibu brand zote za lumia windows phone 8 ila installation bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.