Around my place there is this wifi hotspot which is password protected.I want to benefit from it without prior knowledge of the owner. Any ideas on how i can go about it please?
Ubuntu ni nzuri,na uzuri wake computer yako haiwezi kupata virus.
But ina limitations sana kwenye kudownload,kila ukitaka kitu lazima iwe kwenye "ubuntu software center".Na hapo vile vya maana...
wakuu, nimepoteza simu ya samsung galaxy s advance gt-i9070p, nahisi imeibiwa wakati napanda daladala,
je? naweza kuitrack hata kama mwizi akifanikiwa kuiunlock? au kuset hard reset?, maana hata...
Wadau habarini za jioni..??
Kwanza poleni na majukumu ya kutwa nzima ya Leo.
Mm c mwenyeji katika jukwaa hili lakini naomba msaada wenu.
nikuhusu DSTV INSTALLATION, Nilikuwa nikitumia kabla...
Habari za usiku wadau...
Jamani nimelipia kifurushi cha DSTV .... Cha ajabu sipati local channels, nikiangalia kwenye Channel grid hata namba za local channels hazipo mf. 291 (Star TV), 290...
eti wakuu hamna hata mmoja humu ndani aliehusika kudevelop ile system coz ipo cool kinoma inavyofanja kazi na vile hardware nyingine kama camera,barcode scanner,fingrprint etc naomba kujuzwa...
Nimedownload VLB Beta ila nilipoifungua inanipa warning ambayo ikanifanya nisite kuitumia. Kujaribu VLC nyingine ikanipa same warning, na warning zenyewe ni
*This version is not stable
*Do not...
Mtandao wa google umeongeza Sheria na Masharti, ambayo yataanza kutumika mnamo 11 Novemba 2013.
Soma hapa chini.
Taarifa mpya kuhusu Sheria na Masharti
11 Oktoba 2013
Tunaongeza mapya kwenye...
Kama unatumia simu yenye android na hujui jinsi gani unaweza ku-upgrade simu yako basi soma hapa na utaelewa vitu karibu vyote na njia gani utaweza kufanya software upgrade ya simu yako.
Simu...
Wakuu hivi zile brick game bado zipo? Aisee nakumbuka brick game was my first console (if I may call it a console) before family game, polystation etc. Kwa kweli nilikua napenda sana kupanga mazes...
Katika eneo nililopo mtandao wa airtel tu ndio unaokamata 3g,lakini kuna rafiki yangu alikuwa anatumia huawei, alikuwa na uwezo wa kukamata 3g ya voda.nikajua itakuwa ni simu.
Sasa hivi...
Wakubwa naomba msaada . nimedownload ENCARTA PREMIUM 2009 ya DJ Alex Larieta. Baaba ya kumaliza imeniomba key ili ifunguke. Key sina tafadhali naomba msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.