Habari,
Nina (blogspot) ambayo nataka kui-register haraka iwezekanavyo kwenda (.com).
Naomba kujua yafuatayo.
1. Taratibu ni zipi.
2. Gharama ni zipi.
Kama kuna ushauri pia, nini cha msingi...
kuna hii TV aina ya byDesigne {mtumba} from hongkong, haikubali picha toka cable wire hailet hata search option but nikitumia dish inakubali. naombeni ufumbuz wa hii kitu
Naombeni msaada kwenye hilo maana inaweza kufanya kazi vizuri siku kadhaa halfu inagoma naomba msaada kwa hili
pc ina memory 2 gb hdd 160 gb screen resolution 1780 x 788
Cc. @cto...
nawasalimu wote !!! mimi ni mgeni kwenye ANDROID devices , kuna simu nimetumiwa kutoka U.S.A
inaitwa HUAWE U8680 ni device zinazosambazwa na kampuni ya simu ya T-mobile , sasa imekuja na...
Hi guys,
recently nimenunua a laptop and kuna vitu i didn't really consider. Natumia laptop kufanya 3D graphics au CGI, the downfall i get ni kwamba the graphics card kwenye laptop yangu...
habari za kwenu wanaJF, kwa wale wenye utaalamu na simu za iphone naombeni mnisaide kujua jinsi ya kurestore firmware ya iphone 4s 6.1.3 kwenda kwenye ios6.1.2.
pia naomba mnisaidie kujua jinsi...
Salam wanabodi wa jukwaa la Teknolojia.
Tafadhali kwa mtu yoyote anaweza kujua nifanye nini ili akaunti yangu ya gmail isiniletee error niliyoitaja hapo juu.
Mpaka sasa naweza kutuma mail...
ndugu zangu nina modem yangu huwawei e153 nilijaribu ku i flash moja kati ya njia humu jf yani iweze kutumia line zote . sasa kilicho tokea ni kweli inasoma line yoyote kwa sasa ila kila nikitaka...
I have a very smart phone with inbuilt gps. I think it is possible for me to track the exact location of a caller at any given time. Any ideas on How I can do this?
Waungwana naomba msaada wenu natumia nokia lumia 510 inagoma katka huduma za Mpesa,airtelmoney na vifurushi vya mitandao hiyo so kama kuna mtu anajua jinsi ya kunlock ili i-support code za...
wandugu naombeni mnisaidie jinsi ya kudownload pdf ambayo ninayo kwenye cmu yangu kila nikifungua inaniambia licence adobe rider expired kwa yeyote anaejua anisaidie jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.