Laptop yangu huwa inajizima zima yani nikiwasha natumia kama dakika kumi inajizima hata kama ikiwa nimeichomeka chaji mambo yaleyale, mwenye kuelewa tatizo anijuze tafadhari.
Wakuu simu yangu inanizingua memory kila saa inaniambia ni clear memor nashindwa kufanya instalation na kuupdate program nyingine, naombeni ufumbuzi wakuu
Wakuu nimeandika uzi huu ili wana JF wenye unlimited internet waweze kufaidi zaidi internet hiyo. Pia nanyi mkichangia sites mnazozifahamu itakuwa poa zaidi.
Kuangalia MBC 2 HD,MBC 3 HD, MBC, 4...
Iko poa hii software wakuu, simply jaribu kuicheck na uone inakuaje.
NB: light affects the recognition process, kama wakati una register face ulikua kwenye mwanga mzuri then usiku gizani ukataka...
Microsoft is releasing its long-awaited Windows 8.1 upgrade as a free download starting Thursday. Kwa habari nzima pitia hapa Microsoft releases Windows 8.1, a year in making.
Wadau nahitaji msaada wenu...simu yangu ya Nokia C 3-00 inakataa ku download nokia store. nikifungua Nokia ovi inasema kuna new version lakini ninapotaka ku update inakataa inaleta message ya...
Ndani ya dakika tano tu unapata Mp3 search engine link kwa ajili ya website au blogu yako. ina kuwa na jina la web/blog yako juu pia inakuwa na link ya kurudia home page yako kuona ya mfano CLICK...
Hello friends, I need to transfer SONGS and videos from my PC to the IPOD and I can not do that. I tried unsuccessfully for Itunes. How best can do that ? WATAALAMAU SAIDIA HILI TATIZO
Bila shaka hamjambo wadau wa jf,simu yangu inagoma kudanload sijajua nimefunga kitu gani mwanzoni ilikuwa inadanload vizuri tu,simu yangu ni nokia
naombe msaada huyo nifanye je,natanguliza...
Wakuu,
laptopyangu imekua slow kiaina siku hizi apart from the fact kwamba hdd naona inaelekea kujaa ila pia nikiingia kwenye task manager kwenye upande wa processes nakutaka kuna process kibao...
Wale wakali waku bypass survey hii ni yenu tena kuna premium accounts Bure za Pd Proxy za mwaka mzima
CAUTION:Iwapo itakuwa generated from PD Proxy reseller panel ntai-Abort
PD PROXY Premium...
Katika mashine yangu{PC} nashindwa kucheza FIFA 13 kwenye PC,Nikifungua GAME... PC ina niambia your video card does not meet the minimum requirement sasa sijui nifanyeje ili niweze kucheza...
hellow help me pliz i have a (internet downloader manager IDM) BUT IT IS NOT REGISTERED and now is existing becoz i was using a trial version so if you have the crack for it help me to get it or...
NILIKUWA NAPITIA PITIA SOME SITES NIKAKUTANA NA HII DOMAIN, KWA KWELI NI NDEFU MPAKA NIKASHANGAA, VIPI NYIE WENZANGU, USHAWAI KUTANA NA DOMAIN NAME NDEFU IPI HADI UKASHANGAA...
habari wadau. Nina tatizo kubwa, kuna mtu nachati nae mara nyingi via mobile sms lakini tatizo ni kua sms nikizituma au yeye akituma kuja kwangu zinachelewa kufika, zinaweza kukaa hata dk 20 ndo...
Wakuu,
haya mambo nilikua nayaona kwa wazungu tu kwenye muvi kumbe kibongo bongo yapo, kuna sehemu pale mbele kidogo ya Rose garden ya ukweli sana wameitengeneza kwaajili ya mchezo huu. Kwa wasio...
Wadau sasa ninaimani kwa muda mrefu mumekua mukisubiri kwa hamu jinsi yaku huck wireless internet na kuhack vitu mbali mbali easier and fast sasa backtrack5 ni mwisho wa matatizo kwa install os...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.